Dark days 17/03/20...

ninachoelewa mm ni kwamba Masonic wanaitawala dunia na watu wote wenye nguvu, na wao ndio wanamiliki hela na mifumo yote ya kiutawala
Wanawachagua marais na wanauwezo wa kumuua rais, nguvu na mfumo wao ni mkubwa na wenye siri
Au walimuacha bt kwa makusudio yao wayajuayo. Maana dpst sio kirahisi rahisi.

Ngoja tusubiri mwenye riwaya yake atuendelezee tutaelewa tu.
 
Wakuu , samahani Sana ,mwenye kujua huyu BWANA mdogo aliepewa ulaji katika jumba la mrija wa pesa, ambapo anasadikika yupo na ukwasi KWa Sasa mpaka kumiliki makablasha ya kichina pitia Kampuni ya shemeji yetu , na Mambo mengine, Sina shida na ukwasi wake maana walishaambiwa kula KWa ulefu wa kamba zao, ila shida yangu,
Hii jeuri ya kujibu hovyo wenye nchi ,kibri anatoa wapi? Au anatoa KWa waganga wa kienyeji,
NAFIKILI NOVENA inamhusu ,Ili kichwa naye kiludi tumboni na tumbo liludi kichwani, lakin pia ipo pia ya kuvimba tumbo, vinginevyo hizi dhalau sio za dunia hii,
 
Sasa ndio umeandika Nini..?
 
kuna IDs tano kwenye huu Uzi zote za ndezi mmoja anacomment na kujibu mwenyewe.

halafu tambueni tuko na mzee, born town na wakala wa CEO wa kampuni yetu kwa sasa kwa hiyo wanajua kinachoendelea hapa.

nimewatonya tu halafu naendeleo kusoma kimya kimya nawatonya ili mjue lolote laweza kutokea, kaeni mguu pande mguu sawa, walio milimani wasishuke bondeni na walio bondeni wasipande mlimani.
 
Imefika wakati mnaongea ujinga ujinga tu sasa eti ni code [emoji3] [emoji3]
 
Imefika wakati mnaongea ujinga ujinga tu sasa eti ni code [emoji3] [emoji3]
ACHA ujinga mwenye code ni mwenye uzi wake kaa mbali nami KWANZA Mie hata maana ya code sijui, tuliza Iyo kitu ,alisema aliye kuwa mkuu wa wilaya Iringa , so kaa mbali nami, Mie sio fisadi mwenzenu, tuliza mapepo
 
Umechelewa kujua!!!! Tangu day one walikuwepo zooming.

HOFU ni Dhambi, wa kuogopwa ni Mungu pekee awezae kuua MWILI na ROHO.
 
Mkuu tafadhali nakuomba fungua japo kidogo ile code ya nyani chigoma ...kichwa changu kimekua kizito mnoo kuuelewa
Sawa mkuu nitaifungua maana tunaenda kwa step miiba ni mingi ukikosea unakuchoma maana ina sumu sana miiba iliyotapakaa kila eneo na huku unajua kabisaa nimevaa raba nyepesi chini
 
Mwendelezo wa sasa uendelee kuna watu wanatutoa kwenye msingi wa mazungumzo haya
Tunaogelea kwenye u frimason sijui uchawi
Turudi kwenye msingi wa bandiko
 
Mwendelezo wa sasa uendelee kuna watu wanatutoa kwenye msingi wa mazungumzo haya
Tunaogelea kwenye u frimason sijui uchawi
Turudi kwenye msingi wa bandiko
watu wamepagawa na ufreemason, na hii ni kutokana na ugumu wa maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…