Kilitokea nini mkuuHivi kuna mtu alikuwepo Mbeya na Njombe juzi kati mlikiona nilichokiona mimi wakati anataka kuelekea uwanjani kuhutubia?
Nyani, chigoma,walking anticlockwise kama alien.Kilitokea nini mkuu
Aisee!Nyani, chigoma,walking anticlockwise kama alien.
ask somebody once you meet him.
Màana yake nini hii!!?Nyani, chigoma,walking anticlockwise kama alien.
CIA MGUMU Ako na code hiyo, Ataifungua akimalizia kula ugali na nyama ya nyani.M
Màana yake nini hii!!?
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Au walimuacha bt kwa makusudio yao wayajuayo. Maana dpst sio kirahisi rahisi.ninachoelewa mm ni kwamba Masonic wanaitawala dunia na watu wote wenye nguvu, na wao ndio wanamiliki hela na mifumo yote ya kiutawala
Wanawachagua marais na wanauwezo wa kumuua rais, nguvu na mfumo wao ni mkubwa na wenye siri
Sasa ndio umeandika Nini..?Wakuu , samahani Sana ,mwenye kujua huyu BWANA mdogo aliepewa ulaji katika jumba la mrija wa pesa, ambapo anasadikika yupo na ukwasi KWa Sasa mpaka kumiliki makablasha ya kichina pitia Kampuni ya shemeji yetu , na Mambo mengine, Sina shida na ukwasi wake maana walishaambiwa kula KWa ulefu wa kamba zao, ila shida yangu,
Hii jeuri ya kujibu hovyo wenye nchi ,kibri anatoa wapi? Au anatoa KWa waganga wa kienyeji,
NAFIKILI NOVENA inamhusu ,Ili kichwa naye kiludi tumboni na tumbo liludi kichwani, lakin pia ipo pia ya kuvimba tumbo, vinginevyo hizi dhalau sio za dunia hii,
Imefika wakati mnaongea ujinga ujinga tu sasa eti ni code [emoji3] [emoji3]Wakuu , samahani Sana ,mwenye kujua huyu BWANA mdogo aliepewa ulaji katika jumba la mrija wa pesa, ambapo anasadikika yupo na ukwasi KWa Sasa mpaka kumiliki makablasha ya kichina pitia Kampuni ya shemeji yetu , na Mambo mengine, Sina shida na ukwasi wake maana walishaambiwa kula KWa ulefu wa kamba zao, ila shida yangu,
Hii jeuri ya kujibu hovyo wenye nchi ,kibri anatoa wapi? Au anatoa KWa waganga wa kienyeji,
NAFIKILI NOVENA inamhusu ,Ili kichwa naye kiludi tumboni na tumbo liludi kichwani, lakin pia ipo pia ya kuvimba tumbo, vinginevyo hizi dhalau sio za dunia hii,
ACHA ujinga mwenye code ni mwenye uzi wake kaa mbali nami KWANZA Mie hata maana ya code sijui, tuliza Iyo kitu ,alisema aliye kuwa mkuu wa wilaya Iringa , so kaa mbali nami, Mie sio fisadi mwenzenu, tuliza mapepoImefika wakati mnaongea ujinga ujinga tu sasa eti ni code [emoji3] [emoji3]
Umechelewa kujua!!!! Tangu day one walikuwepo zooming.kuna IDs tano kwenye huu Uzi zote za ndezi mmoja anacomment na kujibu mwenyewe.
halafu tambueni tuko na mzee, born town na wakala wa CEO wa kampuni yetu kwa sasa kwa hiyo wanajua kinachoendelea hapa.
nimewatonya tu halafu naendeleo kusoma kimya kimya nawatonya ili mjue lolote laweza kutokea, kaeni mguu pande mguu sawa, walio milimani wasishuke bondeni na walio bondeni wasipande mlimani.
Kwani ndio anajua leo kuwa zipo za namna hiyo na nyingine ni ya naniii mwenyewe bandariniUmechelewa kujua!!!! Tangu day one walikuwepo zooming.
HOFU ni Dhambi, wa kuogopwa ni Mungu pekee awezae kuua MWILI na ROHO.
Mkuu tafadhali nakuomba fungua japo kidogo ile code ya nyani chigoma ...kichwa changu kimekua kizito mnoo kuuelewaKwani ndio anajua leo kuwa zipo za namna hiyo na nyingine ni ya naniii mwenyewe bandarini
Sawa mkuu nitaifungua maana tunaenda kwa step miiba ni mingi ukikosea unakuchoma maana ina sumu sana miiba iliyotapakaa kila eneo na huku unajua kabisaa nimevaa raba nyepesi chiniMkuu tafadhali nakuomba fungua japo kidogo ile code ya nyani chigoma ...kichwa changu kimekua kizito mnoo kuuelewa
daah ugal mtamu sanaSawa mkuu nitaifungua maana tunaenda kwa step miiba ni mingi ukikosea unakuchoma maana ina sumu sana miiba iliyotapakaa kila eneo na huku unajua kabisaa nimevaa raba nyepesi chini
Mwendelezo wa sasa uendelee kuna watu wanatutoa kwenye msingi wa mazungumzo hayaKabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
watu wamepagawa na ufreemason, na hii ni kutokana na ugumu wa maisha.Mwendelezo wa sasa uendelee kuna watu wanatutoa kwenye msingi wa mazungumzo haya
Tunaogelea kwenye u frimason sijui uchawi
Turudi kwenye msingi wa bandiko