Dark days 17/03/20...

Huyo ni kijana wa kazi chafu za kuzibua vinyesi!!

Yaani anatumiwa kukinukisha KWA Raia Ili new CEO akose sifa za kuendeleza kampuni!waje wampachike mtu WAO!!

Jamaa ni nunda kweli kweli Bt alimtumia Sana KAZI chafu za kuiumiza ile party ya Mr new culture!!

Mimi naendelea na kawimbo kangu kale;-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Ohooooooo
 
hahahahaha, anachukua info,km kweli raila ataenda mahakamani,kikao cha sadc khs aman ya drc na hatima ya pk,na uchaguzi wa drc mwakani
Kuna yule mtabiri anajiita DR.william mtanzania wa USA anasema Raila atakuwa Rais wa Muda mfupi tu!ina maana atashinda urais mahakamani!!

Tusubiri maana watabiri ni wengi Sana siku hizi!
 
Vipi kuhusu Kijazi na mfugale na
Wao ilikua nini
 
Deep state fighting deep state
 
Aisee.....
 
I see... mr born town is very bad man!
 
Kwa post hii Kuna umuhimu wa kuendelea kufuatilia hizi codes za yoga Haiwezekani, watu wahamaki namna hii wakati mleta uzi anasema hii ni fictional story!!!
 
Sisi twatembea na fictional codes za yoga hizi za kwenu tutazipitia baadaye. Ha ha hahahaha AAA!
 
Uongo mwingi ukweli kiduchu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…