Dark days 17/03/20...

....
 
Habari za deep.state hazina tofauti na zile za Freemason, mapepo na majini. Zimekaa kiimani zaidi bila kuw ana uhalisia wala ukweli wowote.

Mtu atakwambia ni group la siri sana lakini yeye analielezea vizuri tu.

Anakwambia Deep state haionekani sometime hata rais halijui.......wamekuw amalaika hao?

Nothing called deep state is just a Myth
 
Alikuwaga wapi huyo bachelor II?

Hana ubavu wa kumzimisha Yoga hata aende kwa mganga wa kienyeji hawezi kumzimisha Yoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…