Dark days 17/03/20...

Sawa lakini Mbona kuna vitisho VYA CHINI chini VYA kumkatisha madaraka ya lady gaga!!??!!??kwani YEYE nae kakosea wapi!
 
Hujaamka tu?, isijekawa nawe umerudisha jezi B-)

Sent from my D6616 using JamiiForums mobile app
 
Something fishy.....was goin on,......

kwa miaka kadhaaa the CEO alikuwa na team yake ndogo iliyokuwa ikimpromote kila kona ya kampuni. Hii timu ilipewa mamlaka makubwa sana japokuwa wengi ndani ya timu hii hawakuwa wafanyakazi wa kampuni!

Mmoja wa viongozi wa timu hii ndio alipiga simu wakati flani kumnotfy the CEO kuwa the old CEO wants him out of the office! Huyu Alikuwa loyal sana, sanaaaaaa!!

Alimpenda sana new CEO, aliaminiwa pia! Yeye ndie mratibu wa external life ya CEO. kazi yake kuu ni kumsemea mazuri tu na kumpamba the CEO!

Alikuwa na vifursa fursa vya kupiga nakujipatia good life behind the scene in the name of CEO

So alikuwa wakwanza kutaka meeting na the CEO wadiscuss why their closest people are dying! Alikuwa na taarifa ficho aliyotaka personaly aitoe yeye!

Katika kuucheza mchezo kisasa the old CEO na team yake walitengeeza mazingira yakama kumframe the deep informal. Why?! Sabbu they want confussion!![emoji848] Ili the las task inayofuata isiwe ngumu saaaaana!!

Kwenye ujasusi unaetoa taarifa nawewe unatolewa taarifa! So these guy knew how to play the game!! They want confussion, misstrust kwenye team ya big boss!! They wanted him to intrapersonal conflict!.........[emoji12]

Walitaka pate woga!!!!

Chukuliwa kijana mmoja, well trained akamwita huyu kiongozi wa team B ya existing CEO akapewa info, kumhusu deep informal na vijana wengine walioaminiwa na CEO na kumgusia uhusiano wake na the old CEO akajifanya anampa kama speculations hivi yaani kama ana blow up the cover ya deep informal na vijana wengine pale in the head office!!

[emoji16][emoji16][emoji16]Tupicha picha twa mchongo na audio za vijana wakiwa kwenye convos wakimdiss CEO (sio deep informal Lakini[emoji848])


The boy (naushamba bila tafakuru) aka bite the poison[emoji16][emoji23][emoji23] with a rush akakimbia kutafuta a way ataonana na the big boss![emoji38][emoji38] Kumbe anatengeneza a very nice trap[emoji23][emoji23]


So the CEO agreed to the meeting! Kijana akaenda pale, akampenyeza taarifa, "boss your house is not safe, we need to cleen this house! Kuna watu wako hapa ni loyal kwa the old CEO, unahitaji mapumziko toka hapa nenda nyumbani pumzika kwanza tu check who is who!" Akasema anataarifa kumhusu mtuwake wakaribu kuwa ni loyal kwa adui yake![emoji18][emoji18][emoji18]

The CEO hofu ikamwingia, akashtuka sana na akakubali, akaamua kutoka kwenye nyumba ya kampuni akaenda kwake nje kidogo ya mji! Akiwa kule akampa assigmment kijana wake yule ahakikishe kabla ajarudi town awe amethibitisha hilo

Alimpa mamlaka yakuunda team kwa kutumia all security agency zilizo ndani ya kampuni kufanya kila linalowezekana! Aliwataka watrace everything! Wajue what is goin on!! Aliomba mpka external companies ziiingie kumsaidia kujua what was goin on!!


So the boss took a flight [emoji3575] chap kwa haraka mpaka kwake, wakati anaondoka the old CEO got the news[emoji16][emoji16][emoji16] akatoa notification haraka kwa vijana wake huyu asirudi!! [emoji38]

The boss wakati anaondoka akasema majukumu yote ya ofisi yataendela akiwa huko huko kwake, but akakata ties na deep informal! The boss akawa hajui amuamini nani au amuache nani!! He was confused and alone[emoji3][emoji26][emoji26]


Sasaaaa, mr old CEO kanyanyua simu kwenda moja of companies mshindani wa his old company!! Siunajua ma CEO huwa wanawatu wao kwenye kampuni shindani!?? [emoji849]

Wakmset mtu wao aombe kuonana na huyu CEO, kama vile wanataka kufanya joint share kukuza biashara kupu guza ushindani usio nafaida!! All resorces zikatumika in within 48 hrs bana [emoji57][emoji12][emoji12]

mwenyekiti wa kampuni husika alitamani sana one day awe powerfull like huyu CEO aliyeko madarakani kwenye hii kampuni ya mshindani wake!! Wakati huo huo huyu CEO hakupenda kupingwa wala ushindani kutoka kwa other companies, nayeye aliitaka hii kampuni ya huyu mwenyekiti ife iwe yake [emoji849][emoji57][emoji57][emoji850]

So kupokea wito wa mwenyekiti kuomba kuja nyumbani kwake kuzungumza how wanaweza shirikiana in business matters it was an advantage katika kuimeza kampuni hii shindani iliyokuwa inakuwa kwa kasi na kuua competition ya kibiashara

Without hesitation he agreed on the meeting!! Kumbe he agreed on his death........[emoji849][emoji26][emoji26]

So hearrenged the date of the meeting bila deep informal kujua! So for the first time the deep informal was out of the scene[emoji849][emoji848][emoji848]

What hapened to the deep informal.........[emoji16][emoji16][emoji16]

Muendelezo soma Dark days 17/03/20...
 
Endelea mkuu, usipotee maana nibkama namsoma James Hardley Chase
 
Damu inasafiri kwa kasi mwilini kama natizama horror movie, hakika wahenga walisema kweli, kikulachoooo.........! Kama ni kweli.

Sent from my D6616 using JamiiForums mobile app
 
So tarehe ikapangwa, mwenyekiti akapewa feed back, preparation zikaanza kufanyika kuelekea kwenye meeting husika!! This is huge!!

The old CEO was very happy kuskia habari hii njema! Since heplaned all this all the way along!! akawaachia kazi vijana wake wamalize mchezo!

Unamkumbuka kijana aliyepewa kazi yakumfanya mwenyekiti wa kampuni pinzani aombe meeting na the targeted CEO[emoji57][emoji57]

Huyu ni assistant wa mwenyekiti, lakini kimuundo nikama anaushawishi mkubwa sana ndani ya kampuni husika!! Iinspite of him kuwa assistant anaambition ya kuwa owner pia wa kampuni hii!!

So he wantend to play the game well ili at the end of the day achukue uskani!! Huyu aliwahi kuwa kwenye kampuni flani ambayo ni very big company mshindani mkuu zaid wa existing company ya the targeted big boss CEO!

Alifukuzwa Kwenye kampuni hiyo kwa kusnich taarifa za kampuni husika akiwa na lengo hilo hilo ambalo analitaka sasa! Kupindua uongozi[emoji849][emoji57][emoji57]

So the old CEO used him that time, na he was using him in the moment!!

Baada ya kutoa taarifa kwa the old CEO alipokea notification haraka kutoka kwa vijana wa the old CEO afike moja ya hotel kubwa ufukweni mwa bahari kwa maelekezo zaid!

One thing the old CEO was good at , ni kuplay the game all along without being noticed!! You know why and how!! He is a well trained spy and a mafia kitambo sanaaaaaaa!! And he has connections[emoji51][emoji51][emoji30][emoji30][emoji30]

So kwa kijana mtumiwa the Funny thing is, alijua yeye anashiriki kama mtoa taarifa kumbe jamani! [emoji13][emoji13][emoji13] He was the one setting the trap without knowing!!

Kijana akaenda kwenye meeting kama notification alivyomwelekeza! he met one of the guys from the other team, akamwambia kwenye hiyo meeting kuna hiz documents mpatie mwenyekiti wako hizo ndio akazipresent kwa the CEO!

Akaambiwa if these docent will be well received, na biashara kufanyika, we apromiising you a best possition in the company!!

Kijana aka smile akazipokea documents zile with exitemt. Ali dream of his position since at the moment ni mtu tu mwenye ushawishi in the company but hana maslahi ya kueleweka

Document zilikuwa zinaonyesha mapendekezo ya how wanaweza fanya joint hizo za kibiashara, kulikuwa na document za aina mbili, one ni bundle of summary ya the whole joint venture, na bundle la pili zilikuwa ni well detailed expalanations on how these two companies may unite and work together and have huge profit in the future!!

So kijana akapewa a litlle bit presentation ya kilichomo mule ili nayeye akatoe presentation kwa mwenyekiti, ingawa pia mwenyekiti alikuwa na prepared issues zake za kumwambia CEO


So he took the documents in bags, nakala mbili, one for them na nyingine ni refernece kwa CEO zikiwa seald!

Kijana aliondoka and He went and present the whole issue kwa mwenyekit! Ile presentation ilimgusa sana mwenyekiti nakumsifia sanaaaa kijana kwa good preparation and presentation!!

Funny thing hakujua muandaaji wa documents zile sio huyo kijana[emoji12]


Tarehe ikafika mwenyekiti na team yake waka chukua flight mpaka nyumbani kwa the boss! Wakapitia protocal zoote na wakawa veryfied kuonana na the CEO maana ulinzi ulikuwa mkali balaaa!! [emoji849][emoji849][emoji849]

So ikafika chance these two wakakutana!! Wakaongea for almost four hours, mwenyekiti akamkabidhi nakala ya documents CEO zille seald akamsihi azisome!! Kama kuna sehemu hakuelewa kupitia document zile kuna a very good detailed expalnation ataelewa!!

The meeting was very succesfull!! Kila upande ulitoka na statement ya furaha!! The future was bright[emoji849][emoji849][emoji849] kumbe the future was dark!![emoji12][emoji12]


So mwenyekiti alibaki na nakala zake and CEO alibaki pia na nakala zake!! Wakati mwenyekiti anarudi, akaamua apitie document zile hasa zile zenye detailed explanation!! Boss akawa anajisomea taratibu.

kafika town vizuri tu!! Ila within two weeks!! Hali ikabadilika! He was Rushed to the hospital but in few days majonziiiiiiii! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

The news came back to the CEO, he was shoked mbaya sana!!

Aksed him self how?? Mbona hii kama ile ya wanzo?? he felt vita imemfuata kwake!! Aliandaa statement ya kuguswa na ondoko la mwenyekiti but deep down akaona huu sasa ujinga huu!! He decided kutoka kwake na kurudi town ili aanzishe mashabulizi mwenyewe sasa[emoji51][emoji51][emoji51]

So akawasha gari zake from his home to town, njiani anajiandaa kwenda akapata wazo la kuchukua zile documents alizopewa na mwenyekiti azipitie ili akifika town kwa kujali uhusiano mwema awaite representatives wa kampuni hiyo awape pole na wafikie terms[emoji22][emoji22]


He oppened the documents na kuzipitia pitia mdogo mdogo! But also decided to call kijana wake ampe updates on what is goin on!! Kijana akamsihi boss usije kwanza mambo sio mambo!!

Boss akasema nooo!! Am coming!! I will run the whole opration myself kama umeshindwa!!

Kafika mjini salama!! chakwanza akamuita deep informal!! Akamtuma amuite the old CEO wazungumze!!

Baadae Akamwita kijana wake, akamwambia a trace the phone calls za huyu (deep informal) kwakuwa amempa maelekezo amuite old CEO akitaka amtume akamwakilishe kwenye summit flan ya all companies nje ya nchi!!

Alitaka kujua wataongea nini kwenye simu hizo!! So wakaprepare vijana kufanya ya fuatayo

Mosi :- kutrace movements za informal
Pili :- kurecord all convos!!

Kumbe time was not on their side!! These peope were very smart and carefully!! waliweza kujua plan za team B mapema na kuchukua tahadhari!!

Two days zikakata wthout hard evedence, the ol CEO akachenga kuwa anashida ya kifamilia but atafika soon!! One week ikawa imekata harakati zikiendelea,

Sasa bwana CEO chest pain zikaanza[emoji22][emoji44][emoji44][emoji44] na ganzi flani hivi zisizo eleweka throught his body especially upande wakushoto!! Akalalamika lalamika kwa mwandani wake wakashauriana!!


Akamuita dactari wake, (yule daktari aliye shughulika na kipenzi chake three monthes ago[emoji857]) The doctor after reciving a call from the CEO!! he knew picha limeanza!! So he notified the old CEO. The old CEO called his team!! And said "the first symptoms have begun, stage three should be initiated"

Bwana bwanaaaa!! Mpango wa smooth transfer of power ukaanza!! Since they all know what they have done so far and what is about to go down.................[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]


Deep Informal akapigiwa simu! "You need to get out of the company from today, find any activitiy ukafanye out of the company hakikisha haupo hapo kwenye kampuni kwa siku kadhaa until we tell you so! [emoji849][emoji849]


The CEO is now sick!! ........
The deep informal is told to stay out!...

Kwanini??, Docta naye je ......


Best and sad part....... Badae!!


[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]

Muendelezo Soma Dark days 17/03/20...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…