Huyu bwege tu hahusiki kwa lolote zaidi ya mission ya kuleta mitutu tu!CEO wao wote ni huyo hapo, hao wengine wote watumikaji tu, timu nzima mpya ilienda kujitambulisha kwake, haijawahi kutokea kuanzia kuanzishwa kwa Republic yetu.
Hicho ndio hasa kilimpa nguvu born town maana ni katika zile mbususu zetu zinazokuwaga ziko kwenye stealth mode๐ !Trust me!ujue hii story ita alert upande wa new CEO na watakua smart Sana Ili kumdhuru old CEO!!!na pia new CEO Anaweza KUTUMIA ushawishi wa kimaumbile na kimkakati akampa old CEO kwa kutoka nae out abroad halafu akam do polonium 210 aka die slowly!!!
kwahiyo kagain more advantage than disadvantageHicho ndio hasa kilimpa nguvu born town maana ni katika zile mbususu zetu zinazokuwaga ziko kwenye stealth mode๐ !
Kuna wale watoto tunapigaga halafu wanakuwa kwenye waiting bay...Hamujaachana officialy ila ukiimisi unaivuta unagonga tu.
With such power born town amemtumia vyema sana deep informal kwenye mission yake.
Huyu bwege tu hahusiki kwa lolote zaidi ya mission ya kuleta mitutu tu!
Vipi tena yakhe hii ni just story ๐๐๐Acha watu wamwage deepshit hadharani maana mlihisi yanafichikaga haya. Kwa kudra za Mungu angemaliza terms zote mbili na tungekuwa mbali sana kiuchumi baada ya miradi kukamilika ila ni kutokana na roho za chuki na tamaa za mafisadi wamedhulumu uhai wake.
๐ณ๐๐ ujue mi najua nasoma hadithi km hadithi kumbe kuna watu wanachukulia siriaz,,,,Watu wanajihisi hakuna mtu kamtaja mwenzake mimi kuna mtu kwenye comment kaniuliza kuwa tumwache mzee wa msoga nikamuuliza huyo mzee wa msoga ndo yupi mimi mbona simjui? Kakaa kimya maana kajiona mmbea.
Wewe shusha anaza episode mwendo wa code mwanzo mwisho.
mkuu ๐๐๐ tulikuwa page ya 35 mvua iliponyesha baadhi ya karatasi zilipeperushwa na upepoMara ya mwisho kutembelea uzi huu, kulikuwa na pages 32, lakini sasa nakuta pages 30.
Kinda funny imagining New CEO being all sultry and seductive towards the Old CEO in an attempt to eliminate him, that would call for it's own category on pornhub site๐๐๐๐๐Trust me!ujue hii story ita alert upande wa new CEO na watakua smart Sana Ili kumdhuru old CEO!!!na pia new CEO Anaweza KUTUMIA ushawishi wa kimaumbile na kimkakati akampa old CEO kwa kutoka nae out abroad halafu akam do polonium 210 aka die slowly!!!
KabisaLazima wamesoma.Ila Kama ni ya kweli hii kampuni inahitaji umakini wa hali ya juu maana Kuna watu wanaishikilia kampuni
Kamati tendaji ipo kaziniMara ya mwisho kutembelea uzi huu, kulikuwa na pages 32, lakini sasa nakuta pages 30.
Eeh ni kama riwaya tu za Kiu na IjumaaVipi tena yakhe hii ni just story ๐๐๐
Huyo si alikuwa anaiva na late CEO alikuwa sumu kwa born town tu baada ya kuzidiana kete๐Hahah man, tema mate chini hakuna umafia unaofanyika eneo hili bila ya huyo, kila kitu kinapitia hapo, huyo ndo CEO, wengi wana underestimate power ya huyo jamaa, unajua ni kwa nini Wakuu wote wa Ulinzi na Usalama walienda kwake tena kwa kufwatana ?
Acha tu mjini akili nguvu shamba๐kwahiyo kagain more advantage than disadvantage
๐๐๐ mjini akili sio makablasha ya mivyeti mingi
yaani nakuweka kwenye ulimbo hadi najinadi kwa watu huchomoki bila mini daadeq na huna ubavu.
tumeshindwa ufilipino naona tumezama ukorean
I heard the same thing โฆ.labda mbinu ya kimedani kuepuka kushtukiwa kumchezesha maboya Mzee wa tochaYoga, tuambie, kuna wakati kulikuwepo na tetesi kuwa late CEO na new CEO walitofautiana, na new ceo alitaka kujiuzulu lakini old ceo aliingilia kati kusuluhisha. Twambie the thruth about those rumours
Wameanza kwa kutuandaa kisaikolojia eti bwana yule mkataba wake umeisha anastaafu โฆwhat is behind this btw?[emoji23][emoji23][emoji23] guys who told you there is so called "truth" in this narrations?? [emoji23][emoji23]
By the way our new CEO is now busy. few days ago, level two of the mission "checks and balance" was deployed! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] stage one on that level inatekelezwa kwa kasi, and the next stage, is stage two!! [emoji23][emoji23][emoji23] The top head in one of the securty agency is about to be taken down!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lets wait for another episode ....,[emoji23][emoji23][emoji23]
(1). New CEO kaenda ziarani nje ya kampuni kupata briefing kutoka kwa kijana wake... around end of mwezi ''FEBRUARY 2022''.
(2). Wakati hayo yakiendelea huko Dubai, the Old CEO anasmell something fishy kuhusu 'excessive loyalty' ya new CEO kwake.
(3). The old CEO anaamua kumtafuta 'kijana' wake ili wamtafute Mwenyekiti wa Board amchokonoe new CEO deliberately in public ili old CEO agundue kitu fulani alichokuwa anakihisi kwa new CEO.
(4). Mara baada ya uchokonozi huo wa makusudi wa Board Chairman, the new CEO aka-react harshly, na instantly the board chairman akatumbuliwa kwa mwamvuli wa 'resignation'... tarehe ''6 JANUARY 2022''.
(5). Upon such harsh reaction ya new CEO towards the board chairman, the old CEO akaconclude kitu alichokuwa anakihisi kwa new CEO.
_____________________
The dates za matukio halisi hazi-correspond na mtiririko wa matukio kwenye hii hekaya ya yoga.
New CEO akaenda Dubai mwezi February 2022. Then akaja kumtumbua board chairman mwezi January 2022.
This narration is just selling some cheap smokes !!
Wrap it up guys. ๐
-Kaveli-
Mbowe??Hamuwezi kumfanya chochote..
Yule mtoto wa mjini kitambo, mmeshindwa kumfanya chochote Mbowe ndio muweze kwa Born Town. Nyie mjini si mmekuja na treni, rambo na ndala wakiwaona