Dark days 17/03/20...

Hicho ndio hasa kilimpa nguvu born town maana ni katika zile mbususu zetu zinazokuwaga ziko kwenye stealth mode๐Ÿ˜…!

Kuna wale watoto tunapigaga halafu wanakuwa kwenye waiting bay...Hamujaachana officialy ila ukiimisi unaivuta unagonga tu.

With such power born town amemtumia vyema sana deep informal kwenye mission yake.
 
kwahiyo kagain more advantage than disadvantage

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ mjini akili sio makablasha ya mivyeti mingi

yaani nakuweka kwenye ulimbo hadi najinadi kwa watu huchomoki bila mini daadeq na huna ubavu.


tumeshindwa ufilipino naona tumezama ukorean
 
Huyu bwege tu hahusiki kwa lolote zaidi ya mission ya kuleta mitutu tu!

Hahah man, tema mate chini hakuna umafia unaofanyika eneo hili bila ya huyo, kila kitu kinapitia hapo, huyo ndo CEO, wengi wana underestimate power ya huyo jamaa, unajua ni kwa nini Wakuu wote wa Ulinzi na Usalama walienda kwake tena kwa kufwatana ?
 
Vipi tena yakhe hii ni just story ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ ujue mi najua nasoma hadithi km hadithi kumbe kuna watu wanachukulia siriaz,,,,


muwasamehe bure endeleeni kushusha anaza palagrafu.
maana wikiend ndo hii hatuna chakutukip bize na sie hatupendagi kukodisha CD na kuwafatilia kina jumong tunazama jf basi
 
Kinda funny imagining New CEO being all sultry and seductive towards the Old CEO in an attempt to eliminate him, that would call for it's own category on pornhub site๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hahah man, tema mate chini hakuna umafia unaofanyika eneo hili bila ya huyo, kila kitu kinapitia hapo, huyo ndo CEO, wengi wana underestimate power ya huyo jamaa, unajua ni kwa nini Wakuu wote wa Ulinzi na Usalama walienda kwake tena kwa kufwatana ?
Huyo si alikuwa anaiva na late CEO alikuwa sumu kwa born town tu baada ya kuzidiana kete๐Ÿ˜…
 
Acha tu mjini akili nguvu shamba๐Ÿ˜…
 
Yoga, tuambie, kuna wakati kulikuwepo na tetesi kuwa late CEO na new CEO walitofautiana, na new ceo alitaka kujiuzulu lakini old ceo aliingilia kati kusuluhisha. Twambie the thruth about those rumours
I heard the same thing โ€ฆ.labda mbinu ya kimedani kuepuka kushtukiwa kumchezesha maboya Mzee wa tocha
 
Wameanza kwa kutuandaa kisaikolojia eti bwana yule mkataba wake umeisha anastaafu โ€ฆwhat is behind this btw?
 

"This whole story is completely true", except for the all parts that are totally made up"

Dark Days 17/03/20...
 
Hamuwezi kumfanya chochote..

Yule mtoto wa mjini kitambo, mmeshindwa kumfanya chochote Mbowe ndio muweze kwa Born Town. Nyie mjini si mmekuja na treni, rambo na ndala wakiwaona
Mbowe??

Kazi mbovu ya hanganya hiyo.

Sasa sisi na hanganya wapi na wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ