Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
wamejaribu kukatisha uhai wake wameshindwa kwa uwezo wa Mungu lazima wawe na hasira nae.Hii ni stori mbona unatamka majina ya watu Wewe!!?
mtindo wenu wa kuchomekea watu maneno kwa nguvu kuna siku utawarudia . Round hii kijiwe kinatumika kunyang'anya watu uongozi ,yule Bi Cheusi mmemuahidi nini?Kwa hiyo nzee kenyata kawakataa wateule na team late CEO au?na yawezekana Ruto alitonywa siku ile kwenye basi kwamba anachunguzwa?msaidieni huyu bi hangaya jamani wenye nafasi ya kufanya hivyo..si kila analoshauriwa anafanya tu!!Mwigulu akiamka na lake akimshauri ye anapita nalo!!Wale wamama aliowajaza wawe sehemu ya Baraza ndiyo kabisaaa...wakipiga story usiku vyumbani wakiamka asubuhi wanampigia simu hangaya "shougaaaaah.."ye anakurupuka anapita nayo!!Sasa huyu hatapewa sumu ila anajimaliza mwenyewe taratiiiibu.
alisema ni stori tu kama nimemuelewaOna tapeli linavyowalisha watu udanganyifu.
Huyo KIKWETE hana uwezo wala nyenzo yoyote ya KUMUUA RAIS WA NCHI.
Naona unajaribu kufunika funika ukweli kwa kutengeneza uzushi na vijistori vya kuhadaa nyumbu.
Tunakucheki tu tunasema Hiiiiiiii....
Kabsa ni riwaya hii au wenzetu wao wanaunganisha na matukio na dunia ya kwel?alisema ni stori tu kama nimemuelewa
Note takenNimenusa vitu vingi sana kwenye hii kitu ambayo lengo kuu ni kuwaandaa watanzania kisaikolojia....Na watakaokuja na hizi topic ni watu kutoka angle mbalimbali na mitandao mbali mbali
Hii ni project ya muda mrefu na kama unaubongo wa kuku huwezi kuielewa ila Watanzania tuwe makini sana sana na tusipokuwa makini tunaenda kuvurugwa..
Kuna force ambayo iko nchi moja ya jirani ndio iko behind hii kitu na lengo ni kumplant mtu kutoka nchi jirani kuongoza hii nchi wakilichukulia advantage ya upepo wa kisiasa..
Nchi mbili jirani ni CIA agents na hii plan inakwenda kuwa excuted from head office hapo jirani...
Kama kweli the Late CEO (kama alivyokuwa blanded humu) alikuwa eliminated basi the one behind the show, ni hao hao with their long term plan, at the end of the day nchi itatekwa na wote tutakuwa mateka...TUWE MAKINI KUSHABIKIA HIVI VITU.....
huyu anayeitwa "Born town" tunaandaliwa tu kisaikolojia na huyu anayeitwa Mzee ambao wengi mmebland kama Mzee wa kusini wanaweza kuwa wahanga ili kuaminisha hizi hekaya kwa watu na watu muanini the mission done..
SKM gang watatumika hapa ila watakuwa overrun maana akili hamna wengi mang'ombe wanaowaza kuishi vizuri tu na jamaa wamepandikiza watu tele miongoni mwao, its long term plan wakichukulia advantage ya ukanda na mfanano wa makabila...
Tuwe makini Tanzania isije kugeuzwa mkoa wa nchi fulani and will be leading from headquater, watu wetu waamke sasa au labda ndio wameshatekwa nao maana wengi wanawaza kula bata na kuishi vizuri mjini tu ila userious na umakini zero....
Huyu anayeitwa "Born town" naye analijua hili si ajabu ndio muokozi wa hii nchi kutoka kwenye hesabu za wale jamaa chini ya yule jamaa "black cat".... Watch out...
Wewe huoni nchi hii inahitaji mabadiliko?kina Bt wanatumia nchi hii Kwa maslahi Yao huoni Sasa hivi tuna viongozi dhaifu Kwa sababu angalia mambo yanayoendelea nchi hii tozo zinaanzishwa ovyoovyo gharama za huduma zinapanda mfano mabando.nchi inahitaji mabadiliko ya kiuongozi tunahitaji Rais mahiri na wasaidizi wake mahiri.na ushahidi unaonesha bila Shaka kwamba BT kamuua late CEO.nafikiri Deep state wanaona hitaji la nchi kupata viongozi mahiri Sasa hivi na Pia kuwaangamiza wasio na lengo nzuri na nchi hii na wanaotumia nchi hii Kwa maslahi Yao.Nimenusa vitu vingi sana kwenye hii kitu ambayo lengo kuu ni kuwaandaa watanzania kisaikolojia....Na watakaokuja na hizi topic ni watu kutoka angle mbalimbali na mitandao mbali mbali
Hii ni project ya muda mrefu na kama unaubongo wa kuku huwezi kuielewa ila Watanzania tuwe makini sana sana na tusipokuwa makini tunaenda kuvurugwa..
Kuna force ambayo iko nchi moja ya jirani ndio iko behind hii kitu na lengo ni kumplant mtu kutoka nchi jirani kuongoza hii nchi wakilichukulia advantage ya upepo wa kisiasa..
Nchi mbili jirani ni CIA agents na hii plan inakwenda kuwa excuted from head office hapo jirani...
Kama kweli the Late CEO (kama alivyokuwa blanded humu) alikuwa eliminated basi the one behind the show, ni hao hao with their long term plan, at the end of the day nchi itatekwa na wote tutakuwa mateka...TUWE MAKINI KUSHABIKIA HIVI VITU.....
huyu anayeitwa "Born town" tunaandaliwa tu kisaikolojia na huyu anayeitwa Mzee ambao wengi mmebland kama Mzee wa kusini wanaweza kuwa wahanga ili kuaminisha hizi hekaya kwa watu na watu muanini the mission done..
SKM gang watatumika hapa ila watakuwa overrun maana akili hamna wengi mang'ombe wanaowaza kuishi vizuri tu na jamaa wamepandikiza watu tele miongoni mwao, its long term plan wakichukulia advantage ya ukanda na mfanano wa makabila...
Tuwe makini Tanzania isije kugeuzwa mkoa wa nchi fulani and will be leading from headquater, watu wetu waamke sasa au labda ndio wameshatekwa nao maana wengi wanawaza kula bata na kuishi vizuri mjini tu ila userious na umakini zero....
Huyu anayeitwa "Born town" naye analijua hili si ajabu ndio muokozi wa hii nchi kutoka kwenye hesabu za wale jamaa chini ya yule jamaa "black cat".... Watch out...
Why wakwite umbwa na wewe sio umbwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yoga akirudi mniite mbwa nipo pale nimekaa
Huko alipo anajuta ujinga wake huu dadeki zake
Mpuuzi huyo alikuwa analeta taharuki nchini akwende hukoWhy wakwite umbwa na wewe sio umbwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]