Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Kaisemea wapi hii“Watu hawaelewi jambo moja la msingi nimewai kumweleza hata Magufuli Kwa maandishi kwamba Vyama vya siasa vipo kukusaidia wewe kuongoza wape mwanya wa kuyasema yooote juu yako ukiwa madarakani ukiondoka utulie, sioni sababu ya kuzuia mikutano ndo maana wakati wangu niliruhusu”JK
View attachment 2377130
Panga vizuri maneno. Kuna mmoja alikuwa chapombe mjengoni.Hapo kwa Mr Ng'atwa , Mr Shangwabu nimepigwa kanzu kinyama. Nileteeni hii kwa code nyepesi wakuu.
Kwenye hii Riwaya ya YOGA inatumika CODE zaid, hii post yako imevaa bikin tu,.maungo mengine yote yapo uchi/waziSasa issue ya Kova uliisikia? Yeye ndo aliitwa Ikulu na boss wake then wakafanyiwa kama wapo kwenye meeting na late CEO, kumbe LATE CEO akiwazuga kulikuwa na mzigo wa magendo unatakiwa kupita sehemu fulani mida hiyo,
na mzigo ni wa mzee wa msoga! Ukafika mda ule mzigo kupita ukazuiwa askar, wale vijana wabeba mzigo wakapiga simu kwa mabos zao, mzee wa msoga akafikishiwa taarifa kuwa wamezuiwa, Mzee wa Msoga akaruka hewani kwa Elnest Mangu, hapo wakiwa kwenye kikao na late CEO! simu ziko mezan maana LATE CEO aliwaambia simu ziwekwe mezani!
Mangu alimwambia usipokee kwanza, simu ikakata baada ya kukata simu ikaita kwa Kova kwa namba ileile msoga, sasa kova akaambiwa pokea weka Loud ikabidi afanye hivo maana ni agizo tena! Sasa pale MZEE WA msoga hajui kitu akaanza kulalamika mbona mbona Mangu hapokei simu na vijana kule mnawapa shida? Basi kova ikabidi aseme ywapo kwenye kikao na No. 1.
Baada ya hapo walifunguka yote na ndiyo maana Kova alistaafu kwa hiyari.
Usione Msoga anamsema vibaya mzee wa Chato anachukinae kwenye mengi
nipo temeke.
aisee ..hatari sana
Mshana Jr naomba uhifadhi kwa matumizi ya baadae, ikianza kuzungumza hii picha.
Kitwanga BashungwsHapo kwa Mr Ng'atwa , Mr Shangwabu nimepigwa kanzu kinyama. Nileteeni hii kwa code nyepesi wakuu.
Kwamba moyo ushaliwa sio!!! Tusubiri.
TayariKwamba moyo ushaliwa sio!!! Tusubiri.
Wewe umbwa si ulisema yoga hataleta episode! Unateseka sana.Story za kishamba na uongo uongo mna shadadia sana Yoga naona hujakoma eee
Huu ni umbea,afande kova amestaafu kwa mujibu wa sheria sio kwa hiari.tena alitakiwa kustaafu kabla ya hapo akaongezewa muda tu.Sasa issue ya Kova uliisikia? Yeye ndo aliitwa Ikulu na boss wake then wakafanyiwa kama wapo kwenye meeting na late CEO, kumbe LATE CEO akiwazuga kulikuwa na mzigo wa magendo unatakiwa kupita sehemu fulani mida hiyo,
na mzigo ni wa mzee wa msoga! Ukafika mda ule mzigo kupita ukazuiwa askar, wale vijana wabeba mzigo wakapiga simu kwa mabos zao, mzee wa msoga akafikishiwa taarifa kuwa wamezuiwa, Mzee wa Msoga akaruka hewani kwa Elnest Mangu, hapo wakiwa kwenye kikao na late CEO! simu ziko mezan maana LATE CEO aliwaambia simu ziwekwe mezani!
Mangu alimwambia usipokee kwanza, simu ikakata baada ya kukata simu ikaita kwa Kova kwa namba ileile msoga, sasa kova akaambiwa pokea weka Loud ikabidi afanye hivo maana ni agizo tena! Sasa pale MZEE WA msoga hajui kitu akaanza kulalamika mbona mbona Mangu hapokei simu na vijana kule mnawapa shida? Basi kova ikabidi aseme ywapo kwenye kikao na No. 1.
Baada ya hapo walifunguka yote na ndiyo maana Kova alistaafu kwa hiyari.
Usione Msoga anamsema vibaya mzee wa Chato anachukinae kwenye mengi
nipo temeke.
Huu ni umbea,afande kova amestaafu kwa mujibu wa sheria sio kwa hiari.tena alitakiwa kustaafu kabla ya hapo akaongezewa muda tu.