Mbwa koko bado unabweka humu?Yoga maisha yako ni mhimu kuliko huu ujinga kuwa makini last warning [emoji3544]
Hakuna mkurya mjinga mjinga hivi.Yoga maisha yako ni mhimu kuliko huu ujinga kuwa makini last warning [emoji3544]
Kwamba ni njaa tu inamsumbua et🙌🙌🙌[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umekula kwanza uko ulipo??? Kale bwana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leo nimemuona yoga Geita.
Muulize kwanza wakati watu wanaenda kuangalia kaburi mbona yeye alibaki analinda lango iliwejeItakuwa umemwona mbiti na sio yoga
Kwani wewe ndiye yoga?Itakuwa umemwona mbiti na sio yoga
Achana nae huyoHakuna mkurya mjinga mjinga hivi.
Childish q! una akili na maswali ya kike kitoto ndugu.Kwani wewe ndiye yoga?
Sihangaiki na wachunga mbuzi mie 😂Muulize kwanza wakati watu wanaenda kuangalia kaburi mbona yeye alibaki analinda lango iliweje
🤣🤣🤣 huyo boya tu maana mmhSihangaiki na wachunga mbuzi mie 😂
Nimemchora kama katuni ya Said Michael 😂🤣🤣🤣 huyo boya tu maana mmh
Basi mwenyewe hapo unajiona bonge la mjanja, hahahahShauri yako
Kwamba mmedhiti tena SIO!?Saf kabisa