Bachelor OG
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 878
- 1,195
Huyo buyobe mara yake ya mwisho kupost ilikua lini na imeishia wapi? linganisha hapo ndio utajua nan anamkopi mwenzieNisaidien huu uzi nauona kwa buyobe,je n nani anacopy kwa mwenzie?
Hapa na Panya road walihesabiwaMakinda kasema Dar ina watu 5.7m na mwanza 3m.sio hizo ulizoziandika
Uzi WA intelligence hauwez kueleweka Kwa darasa la 7 mkondo BUsidanganywe anachoandika hata hakieleweki huoni kakosa content kapotea kaenda huko kutunga umbea aje nao tena
Aaaaaaaaa!!! Wapi!!!!Nachambua taarifa za sensa,
Kumbe dar yenye Zaid ya watu 8 ml na mza yenye Zaid ya watu 6ml wakishiriki kiufasaha kupiga kura na kizisimamia,
Wakishirikiana vilivyo na majiji yote,
Rais wamtakaye anapita asubuhi na mapemaaaa!!!!
Obudde bwonaaUmukhama murunji.....?
Saido ntibazonkizaImana ntirobanura
ubugabire mnyampara ikwiriri malafyaleAbanyamadini bamwe na bamwe bakunda gusubiramo aya magambo avuga ngo “Imana ni nziza.”