Vijana punguzeni ukali wa manene you are not safe like thatAlinyooshwa tena na jeshi la mtu mmoja, akachukia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema mzee wako naskia hata kabla hajazeeka alikua na matatizo ya nguvu za kiume. Alikua anahonga sana ili wasimtangaze[emoji23][emoji23] wengine alihonga ukuu wa wilaya eti ni kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]?!????
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
PkNani huyo!!!?
Guys am sorry ntakuwa off line kwa muda mrefu kidogo!! Sorry!![emoji15][emoji43][emoji43][emoji43]
Tatizo humu JF mnapenda sana hizi story.
Na huwa mnaziamini.
Ila kaa ujue hakuna inside informations zinatolewaga kizembe (hivi tena zinazohusu life za watu wakubwa kabisa).
Eti mtu atiririke kama gazeti hivi, tena kweupe hivi. Hakuna kitu kama hicho.
Hizi informations huwa zinafichwa kwa gharama yoyote ile.
Zikitolewa huwa zinatoka kwa uchache tuu.
Sio mtu anasimulia ya upande A, upande B na upande C yote yaliyofanyika anayajua. Hiyo collection ya hizo taarifa aliiwezaje wakati kila upande unajilinda taarifa zisivuje? Kama sio Utunzi .
Disco lilishaingia mmasai hakuna kazi tena hapaUzi wetu umethibitiwa? mbona hauendi
yoga are you there?
Awali alikuwa fiti, tatizo lilianza alipofanyiwa operation kwenye viazi viwili kule kwenye kampuni kubwa zaidi.Alinyooshwa tena na jeshi la mtu mmoja, akachukia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema mzee wako naskia hata kabla hajazeeka alikua na matatizo ya nguvu za kiume. Alikua anahonga sana ili wasimtangaze[emoji23][emoji23] wengine alihonga ukuu wa wilaya eti ni kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]?!????
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
"naomba hii code ifunguliwe kwa code nyepesi"
Hahaha duuh ila kumbuka yule pamoja na kwamba ni mtoto wa vibarazani lakini ni mwanajeshi mstaafu tena luteni kanali na siyo watoto wa vibarazani wote wanaweza uanajeshi! So yuko tofauti na wale wakaa vibarazani wengine wanaoshinda wamevaa misuli!Awali alikuwa fiti, tatizo lilianza alipofanyiwa operation kwenye viazi viwili kule kwenye kampuni kubwa zaidi.
Kabla ya hiyo operation nasikia alikuwa kisu ,na ina semekana ndo kidume no moja alokuwa akijuwa kulalamika kwenye 6x6 kuliko kidume yeyote. Yaani ati alikuwa akilalamika kwenye 6x6 anatoa mpaka machozi na kile kisauti chake nyooolo zake [emoji57][emoji57]
Si unajua yule mswahili so hayo mambo alikuwa anayajua sana, watoto wa kukaa vibarazani atajua nini tofauti na hayo mambo? Alizalisha sana wanawake lazima watoe siri zake.
Soon my friend, kuna kijigroup cha watu hapa bwana kime catch feeling kina relate na vitu vyao wanavyotaka!![emoji23][emoji23]
Afu ushamba nyie yaani unakuja pm unasema eti we are watching you carefully [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha weeee!!
Em tulieni bwana tusome tu!! [emoji23][emoji23]
Huyo mzee mnamtaja hapa kuwa na muonea na kumchafua hakuna mahala ametajwa!![emoji23][emoji23][emoji23]
Kinda funny imagining New CEO being all sultry and seductive towards the Old CEO in an attempt to eliminate him, that would call for it's own category on pornhub site😂😂😂😂😂
One man's meat is another man's poison. You will be suprised at how somebody jerks off on the thoughts of the old her.....too old and not attractive at all !
Acheni kumsingizia na kumpaka tope mstaafu wetu Msoga. Vitu vingine tumieni akili, hivi inaingia akilini amuache miaka yote 6, halafu am terminate akiwa amebakiza miine? Ni upotoshaji, acheni ku make conspiracy theories kwa mzee Msoga.
Acheni apumzike. Ni kweli Jiwe alikuwa mgonjwa na ndio maana kuna rumors kuwa aliomba mpaka upako kabla hajafa, na alijijua kuwa alikuwa mgonjwa.
Narudia, acheni mzee apumzike msimpake shombo.
Na stori za hivi zipo nyingi sana kila mtu anaongea anachojua. Kwenye tukio lolote lile ni lazima conspiracy theories zinakuwa nyingi sana. Acheni hizo bhana,muacheni mzee msoga apumue, msimuonee mzee wa watu.
#StopConspiracyTheories
Ni kweli, lakini inategemea na jamii inayopelekewa ujumbe na lengo la mtoaji taarifa. Jamii yetu inapenda nyepesi nyepesi mno, hivyo hizi habari hata kama ni za kweli zitaonekana ni masikhara,Tatizo humu JF mnapenda sana hizi story.
Na huwa mnaziamini.
Ila kaa ujue hakuna inside informations zinatolewaga kizembe (hivi tena zinazohusu life za watu wakubwa kabisa).
Eti mtu atiririke kama gazeti hivi, tena kweupe hivi. Hakuna kitu kama hicho.
Hizi informations huwa zinafichwa kwa gharama yoyote ile.
Zikitolewa huwa zinatoka kwa uchache tuu.
Sio mtu anasimulia ya upande A, upande B na upande C yote yaliyofanyika anayajua. Hiyo collection ya hizo taarifa aliiwezaje wakati kila upande unajilinda taarifa zisivuje? Kama sio Utunzi .
Uko sahihi kiongoziNamimi hua naamini hii ndio sababu, hizi chanjo ni za kuzimu hivyo ukizipinga ni lazima uondoke by any means
Ukikaa vibaya unaanza kumuona mwandishi yumo ndan ya hadithi😆😆🤣🤣🤣....