Dark days 17/03/20...

Sio kwamba wanakuzoesha idea kuwa umeme utakatika kila siku so ununue jenereta ili shughuli zako ziende.....
Mnaoamini hii propaganda huwa nawashangaa sana, yaani mtu akatae umeme Ili auze majenereta? Hivi hao mafisadi si ndio wanamiliki viwanda vikubwa eti kweli akate umeme uathiri uzalishaji wa mabilioni kwa ajili ya kuuza majenereta ya million kadhaa?

Duh no wonder ulikua mfuasi wa Jiwe, brainwashed mindset.
 
Hilo linawezekana.
Kama baadhi ya mataifa makubwa yanaanzisha vita katika nchi nyingine ili wananchi wao na makampuni ya nchi zao waweze kufanya baishara ya silaha. Inashindikana nini mataifa hao kuhujumu baadhi sekta zetu kwa kupitia viongozi ili nchi zao ziendelee kufanya biashara. Ikiwemo solar na majenereta.
 
Covid wapi. Hao wengine walikuwa wanasafisha njia kwa ajili ya mwamba kutolewa.
Sio kweli, Mzee wangu na board members wenzie waliponea ICU kipindi hiko hiko wanachokufa viongozi wa serikali. Sasa JPM alikua na shida ya moyo miaka mingi so kupata COVID 19 ilikua ndio last blow.

Kumuua Rais sio kitu kirahisi kama unavyodhani. Hata mnapopanga mauaji Kuna mmoja ni mtu wa mfumo atavujisha tu. So tusiwe wepesi kuamini rumors.
 
Kama baadhi ya mataifa makubwa yanaanzisha vita katika nchi nyingine ili wananchi wao na makampuni ya nchi zao waweze kufanya baishara ya silaha
Propaganda tu, mbona Saudi Arabia inanunua silaha za matrilioni kutoka USA Kwani Kuna vita saudia? In fact nchi nyingi zinanunua silaha wakati wa Amani maana vita ikianza hazina pesa mfano Ukraine silaha zote inapewa kama msaada tu haiuziwi maana Haina pesa Sasa unadhani US anafaidika Nini kimauzo ya silaha? Nachojua hizo vita ni kupata power tu sio fedha Wala Nini.

2. Kama mnadai wanahitaji vita Ili kuvuna madini mbona hapa Tz hatuna vita lakini wamechukua madini kwa mikataba mibovu kwa miaka 20 Sasa? Migodi yote ni ya wazungu kwani tuna vita hapa? Tusitafute kichaka Cha kukwepa lawama kwa kusingizia wazungu. Mabilioni yameibwa ripoti ya CAG Kuna mzungu kahusika?

Hilo linawezekana.
Kwamba wanataka tukose umeme watuuzie solar? Kwani Tanzania haya magari, chuma za SGR, Laptops na Simu zinatengenezwa nchini? Kila mwaka matrillion yananunua bidhaa na huduma kutoka kwa mabeberu hata gesi tu tunauziwa na mabeberu kwani wanahitaji mpaka vita au mgao ndio tununue bidhaa zao? Embu niambie hata bila mgao au vita miaka yote ya JPM Kuna bidhaa Gani ambayo hatujaagiza nje? Ngano tu tunanunua Ukraine, mafuta Saudia hivi mpaka hapo wanahitaji vita ndio watuuzie ngano??
 

Duh
 
Upunguzage ujuaji
 
We ndio mjuaji, serikali ilishasema alikufa kwa hitilafu ya moyo wewe unaleta story za vijiweni nani ndio mjuaji Sasa?
kuna point unaongea zipo vzuri san but never trust mtu anaitwa mwanasiasa, tunakua manipulated kila siku na inafikia sehem unashindwa kujua kipi n sahihi
 
Hivi mkuu kwa akili tu ya kunywa maji, unaweza fikiri serikali ingesema ndio aliuwawa kwa sababu moja mbili tatu?

Dah.!

Alisema samurai vibwengo wapo gizani.
Mbona JPM alipelekwa JKCI kabla ya Mzena kamuulize dokta yoyote pale JKCI sababu ya JPM kufariki ni Nini, mbona inafahamika randomly tu kuwa alikua na shida ya moyo na alikua na pacemaker. Sasa why mtu wa hivyo ionekane kauwawa wakati wote mnafahamu alikua na matatizo ya afya? Kampeni tu alishindwa kufanya tukawa tunasema Rais hayupo fiti hamkuona ajabu ila miezi 7 baadae ndio kauwawa?? Hampo serious.

Kingine sio serikali tu media za Kenya zilishaanza kuhoji afya ya JPM kipindi ambacho huku Tanzania hata serikali ilikua kimya. Media zilisema ka paralyse upande mmoja n.k hakuna rumour yoyote iloyosema kapigwa sumu au kauwawa zote zilionyesha ni tatizo la moyo. Kumbuka muda huo Tanzania wafuasi wa JPM mlikua busy kutukana wapinzani kwa kuhoji afya ya JPM. Cha kuchekesha amekufa ndio mmekua wakali kuhusu kifo chake??

Huwezi kumuua Rais kirahisi hivyo, especially kwa JPM aliyekua anajihami kiasi kile.
 
Covid wapi. Hao wengine walikuwa wanasafisha njia kwa ajili ya mwamba kutolewa.
Mwamba unayemsema yeye ndiye aliyeanza uchokozi... Yeye alipanga Ufalme uongezwe zaidi ya 2025...

Akacheza rafu kwa CEO mwenzake wa awamu ya tatu... Ili kusiwe na kelele ya agenda yake pale mjengoni....
...wanasema malipo ni hapa hapa
 
Mwamba unayemsema yeye ndiye aliyeanza uchokozi... Yeye alipanga Ufalme uongezwe zaidi ya 2025...

Akacheza rafu kwa CEO mwenzake wa awamu ya tatu... Ili kusiwe na kelele ya agenda yake pale mjengoni....
...wanasema malipo ni hapa hapa
Hakuna kitu kama hicho, hayo mambo ya kujiongezea muda yalipigiwa chapuo na watu waliokuwa na agenda ya kumchafua ili aonekane alikuwa na tamaa ya madaraka lakini naamini asingeongeza hata sekunde moja ya utawala.


Nakuhusu third CEO waliomuondoa ni walewale ili kupunguza nguvu za kufuatilia nini kimetokea iwapo wangemuua na kumuacha mzee wa kusini. Kila aliyeonekana atakuwa kikwazo baadaye walihakikisha anaondoka hasa wenye madhara.
Mwamba mambo mengi sana alipandikiziwa ili aonekane hafai, ndiyo maana hata sasa udhaifu wa new CEO unafichwa kwa kumchafua JPM.


Ila tukiondoa madhaifu machache ya kibinadamu Magu alikuwa analipenda sana taifa lake, ila kwa kuwa watu wapo kazini kumchafua atachafuliwa sana mitandaoni lakini ukiutaka ukweli anasemwaje ingia uraiani ndiyo utajua nguvu ya mwamba.
 
Akili kubwa, nimeipenda.
 
Pamoja na maelezo yako nisemee tu jambo moja kuwa. Ni kweli huwezi kumuua rais kirahisi lakini kama system ikiamua kumpoteza ni dakika chache sana unasahaulika.

Kumbuka Tumia Akili alishasema kabla hata ya kumalizwa kuwa atakuwa excuted so unaweza ukajua waliomuondoa siyo normal pipo kam mimi na wengine nisikuseme wewe maana sikujui
 
ulisoma shule ya msingi Msenge kule Singida?
 
Sawa mwanafunzi wa shule ya msingi msenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…