Dark days 17/03/20...

Inaleta picha! Vipi ujio wake wa juzi na yanayo endelea hapa sasahivi, kuna muingiliano wowote wa athari za harufu yake kwa haya yanayoendelea!!?
 
Mkuu

Kwahiyo hadi SASA mpango wa fdr unaendelea!!?au state imeamua iende na na Mama!!?
 
ChawaWaMama inawezekana kweli BT haijui Deep shiteti ya bongo?
Kwani yeye si sehemu ya hiyo deep shiteti?
 
Dah bado naukumbuka huo uzi ila bado code limejibamiza na kujilock
Yaani inaonekana the state walitaka kuingiza mtu kitalani mwaka huuu 2023 atawale KWA miaka 12 HADI 2035!!!huyo jamaa anaitwa fdr jina la Rais wa marekani wanamfananisha na aliekuwa Rais wa marekani Franklin Delano Roosevelt (Fdr)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…