Dark days 17/03/20...

Inaleta picha! Vipi ujio wake wa juzi na yanayo endelea hapa sasahivi, kuna muingiliano wowote wa athari za harufu yake kwa haya yanayoendelea!!?

Ngumu sana kutenganisha na yaendeleayo.

Kuna vita inapiganwa huko nje ya camera kubwa sana tena sana. Vikao vinapigwa sana kwa sasa, mipango inasukwa kisawa sawa.

Tutasikia tu bendera nusu mlingoti. Pamoja na yote kama current CEO karatibu mambo haya kwa kushirikiana na PK na mzee na fans wa late CEO. Naona huruma juu yake.

BT ni mtu mwingine akiguswa mambo yake muhimu. Kama sio BT kamuondoa dodo ni wapinzani basi wajiandae, maana BT yupo smart kwenye hizi mission.
 
Mmmmmmmmmh
 
Kwani BT si member wa dipu stefi? Km sivyo inawezekanaje asiwe sehemu ya dipu stefi wakati amewahi kuwa CEO wa kampuni?

Hahah mkuu hii dip steti achana nayo huwezi kuijua yote. Ndivyo waishivyo kwa kanuni zao. Nadhani hufanya hivyo ili kuiacha ikiwa salama.

Kwa uchache hutambuana. Inasemekana kuna dip steti ndani ya deep steti.
Hii dip steti huwa ni kikundi cha watu, wanaopanga mambo ya kampuni husika kwa msaada wa wenye akili na uwezo wa ki mwili na kiroho.

Unakita unapanga nao mipango ila hawakuambii sisi ndio dip steti, wanakuruhusu ufanye yako kwa mipaka watakayokuwekea wao. Hii dip steti wana mamlaka ndani ya kampuni na nje ya kampuni hupata msaada wa dip steti nyingine.

Ndio maana 1st CEO wa kampuni alitaka kupinduliwa mara kadhaa.!!! Sasa jiulize yeye kama muasisi wa taifa hili hakuijua hii mipango kama alikuwa anawindwa? Baada akamtaka waziri yule achukue kiti chake wakamla kichwa. Dip steti iko wapi,? Je ni watu wa kawaida waliiweza kampuni kiasi cha kumla kichwa kiongozi mkubwa kama yule? Je, 1st CEO unafikiri aling’atuka kwa kupenda? La maji yaliyazidi unga. Kama mhasisi hakuweza kuijua dip steti yote, je BT atakuwa kaijua yote?

Deep state within deep state.
 
Sasha asiwepo tu[emoji2969]
 
Hakuna cha falaki wala lafaki umri wa mtu ni siri ya muumba hata malaika wa kutoa roho mwenyewe hajui mwisho wa mtu mpaka siku ifike, story za kina forojo ganze zisikufanye usichanganye na zako mkuu, hao majini wenyewe hawajui siku yao ya kufa, usiharibu uzi wa watu.
 
Kwenye uzi huu hii comment nimeielewa Sana.
 
Nchi hii ni tajiri sana, tajiri sana yaani!
Ndio maana vita ya madaraka ni kubwa kiasi hiki?
 
Itoshe tu kusema bt ni kina kirefu.

Nikikumbuka ile 95 wakati anakubali kiurahisi kumuachia nafasi bwm vile alivyo sema team zangu za kampeni zote ziwe timu za bmw!
Kumbe mwamba ako na team tokea enzi hizo, tena team za ushindi.
 
Mbona inasemekana Ben ten aliondolewa na late CEO? Coz mtu mpekee anayemuheshimu na kumuogopa alikuwa ni Ben ten. Ben ten alikuwa akimkanya na kumkaripia kindakindaki late CEO.. So late akaona usiwe tabu ngoja atangulie then the next is TB...
But BT akamuwahi. Ila ukiua na wewe utauwawa tu.

Kuna mzee nilikutana nae alikuwa kitengoni enzi za muasisi wa kampuni. Baada ya bwana BT kuutaka u CEO muasisi akamtuliza kuwa ni dogo then kiti akapewa Ben ten but before kupewa kiti muasisi alimtuma mtu akachimbe back round ya Ben ten since he was born huko kusini na ikagungulika Ben ten alikuwa na msala flan ambao wakimapenzi na aliwah kumRIP mhasimu wake.

So, mipango ikiwa imekamilika na Ben 10 akijua Hana baya ghafla akaitwa nyumba nyeupe nakupewa fail lake hakuamini na alihisi tupo naked. But muasisi akamwambia relax aliyeleta hilo file kwangu ni someone na akiendelea kuwepo anaweza kutumia huo udhaifu kukusumbua.
So maagizo ilikuwa akipewa kiti aanze naye! Kweli, sooner after kupewa mikoba akamRIP jamaa then muasisi alivyoona jamaa kasepeshwa akajua Ben 10 kufanya yake na kumuuliza akakiri.
So muasisi akawa anammiliki Ben 10 kwa kuwa yeye ni muasisi alimpigania kiti. Pia ana file lake la kuua huko kwao na jengine lakumuua shahidi..
Ben 10 hakupenda maisha yale kila akimuona muasisi anahisi kama ataropoka vile.. Akaamua amtangulize muasisi... Eti lkn.

SASA HUYU MZEE SIJUI ALIZIPATAJE KAMA ILIKUWA SIRI YA MUASISI NA BEN 10. [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…