Dark days 17/03/20...

nmegundua hii story hii haiwezi kuisha kwa sabb tumerudi nyuma enzi za mr.bright na mr.diplomatick wakat tupo utawala wa new CEO.
mbona inaeleweka, msimulizi wa hekaya alitaka kwanza tujue Branch Manager alifikajefikaje hapo na uchawa wake ndio aendelee na kazi aliyomuomba Baba (Late CEO) ammalize asistant wa Mr culture
 
Late CEO sijuhi alikufanyaje wewe.
Unaonesha una chuki Sana na wafu katika hii story.

umechanganyikiwa (Inferior complex) ndio maana umekula za meno
The late CEO angeendelea hata mwaka mmoja angetumaliza, chonee yote aliikwapua bila jamvi kuijadili, aliiweka nyumbani na nyumba ya kampuni, watoto walifunguliwa mibanda mikubwa ya simu na kuosha magari na sasa wanayashindwa
acha tu malipo ni hapahapa duniani Ngosha wewe
 
Maduka yao ya simu yako wapi, na hizo car wash zao ziko wapi pia?
Unadhani kwa mshahara wake tu asingekua na uwezo wa kuwafungulia wanae hayo maduka ya simu na car wash?
 
Maduka yao ya simu yako wapi, na hizo car wash zao ziko wapi pia?
Unadhani kwa mshahara wake tu asingekua na uwezo wa kuwafungulia wanae hayo maduka ya simu na car wash?
yanakuhusu nini wakati hii ni riwaya tu
mbona mnarukia kuliko Mleta Mada
ngoja nitakapofungua ya kwangu ndio mnihoji
mnaturudisha enzi ya mwendazake mlikuwa mnahoji kila post
 
Late CEO sijuhi alikufanyaje wewe.
Unaonesha una chuki Sana na wafu katika hii story.
soma MWANZA ingine hiyo tangu 2015 mnajimegea tu
 
Binafsi nilikuwa naamini hapa JF hakuna mtu anayeweza kumzidi uongo Yericko Nyerere na Ontario kumbe nilikuwa najidanganya sasa kwenue orodha namuingiza na huyu yoga

Ila wanachokuzidi Yericko Nyerere na Ontario wenzanko vipaji vyao vya uongo wanapiga ela na wametengeneza fun base yao.

Na wewe kwa umahiri wa kutunga hadithi kama hizi si vibaya ukikutana na Yericko Nyerere akuelekeze alivyofanikiwa kuandika kitabu chake ujasusi wa kidola.

Ila kwenye hii tamthilia yako ya kusadikika umechemka kusema mwanasheria mkuu aliitwa kumuapisha Rais, ukweli ni kwamba Jaji mkuu ndio anamwapisha Rais.

In principle una kipaji cha utunzi lakini umekosea sana kuwahusisha watu tunaowajuwa na kifo cha mtu mbishi ambaye amesanabisha vifo vya wengi kwa Corona na Mungu akamwadhibu kwa Corona hiyohiyo.

Huyo CEO wenu amekufa na Corona na msitafute watu uchawi, pili Mzee wa Lupaso alishafikisha umri wa kibiblia, amekufa na miaka 80 plus, tena kwa lile limwili lake la hovyo hata kufika umri huo ni bahati.

Ngonjera kama hizi tumezizoea hata Mkapa alizushiwa ndiye aliyemtangulizs Baba wa Taifa.

Kwahiyo hizi porojo za watu wa legacy hazishangazi ni porojo kama porojo nyingine tu, ila ukweli utabaki kuwa Watanzania wengi wamefurahishwa na kifo cha huyo CEO aliyetawala nchi kwa mkono wa chuma. To hell.
 
Ukiona mtu alikuwa anamshabikia yule mshamba mgonjwa wa akili basi ujuwe huyo ni mchawi tu kasoro hana vitendea kazi.
 
Late CEO alikuwa mutu mubaya sana kuanzia sura mpaka roho.

Bora limekufa
Kwanza hakuwa Mtanzania, na mimi nilimdharau tu pale alipotuma watu wamuuwe Tundu Lisu Mungu akakataa matokeo yake limekufa yeye tena kizembe kabisa na Corona kwa kupuuza maelekezo yà wataalam.

Sasa angalie litoto lake Bashite damu za watu alizomwaga zimeanza kumrudia na kumlilia hana amani tena ya maisha, wauwaji hawa.
 
Mbwa waoga wanaorudisha mkia nyuma wameanza kubweka.
 
Kazi ya luckyline kwenye huu uzi ni kuaminisha kwamba upinzani wote ni useless. Ninaamini wasaliti wapo lakini sio kwa mtazamo wa huyu mtu.
Kumbuka hii ni riwaya tu.
Aiseee nipe pole maana baada ya kuwajuwa hawa wapuuzi mimi sina hamu nao.kwa njia moja au nyingine nilikutumika kusafisha vyombo vichafu kuvisugua na stil waya ving'ae
 
Nyie hii dunia muione hivi. Nikiwaza kuna wakati nawaza mengi maana mimi nasoma sana riwaya.

Nasisitiza hii ni riwaya. Nilivyosoma ile riwaya na mimi nikajikuta navaa uhusika yaani kama vile naota ndoto.yaani nilikuwa naota kupitia kwenye ile riwaya

Kwamba wakati late CEO wakati anausaka u CEO mr new culture aliona customers wale vijana wake ambao wako chini yake wale wapiga kelele wanaojita mabrigedia bila elimu,aliona hawamfai.

Akaamua kutengeneza team ya mutu kama 90 hivi, iliitwa team " wherever you're we are there".
Kazi yake ilikuwa ni moja. Kushika stil waya na kusugua masufuri yatakate haswa!! hii yote ni kimsafisha mr bright. kumbuka kwenye hiyo ndoto na mimi nilikuwa kwenye hiyo team.

So hiyo team ya wenye elimu ya kuweza kueleza uwezo na uzuri wa mr bright ilibidi itembee mguu kwa mgu, nyumba kwa nyumba.

Maskini kwakuwa na mimi nina ka elimu basi nikifika kwenye kaya hapo nimeambatana na vijana kama watano hivi wale wapiga kelele wasiokuwa na elimu, basi mimi ndo naananza kujieleza.

Kwenye kujieleza lazima uwe umesoma vizuri ile ripot ya mr bright kuachia ngazi. Kwa kifupi sisi wenye ka elimu ile ripoti tuliimeza so ukifika kwenye kaya ambako kuna wasomi walikkuwa wakituhoji, ilikuwaje mr new culture akampokea mr bright?
Basi nashusha nondooooo, na vipeperushi kibao tunahamia nyumba nyingine. Jamani kumbukeni hapa nilikuwa naota.

Basi wakuu tulizunguka hii branch yenye matawi zaidi ya 2o mguu kwa mguu nyumba kwa nyuma hii yote ni kusugua na stil waya kutu za mr bright.

Kinachoniuma ilikuwaje na mimi nikajikuta kwenye hiyo team ta kusugua kutu? Wakuu nikiwaza sasa hivi najikuta nacheka, hivi huyu mr new culture anatuonaje sisi mpaka atutumie kama dodoki? Nasikitika sana kwa nini sikujua huu upuuzi

Nakumbuka kwenye ile ndoto tulikuwa na wimbo ketu,......... mr bright, mr bright , ana ka mtima keupe, ana ka ngozi ka mtume, na kichwani kwake kuna mchele mweupe, tiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiriiiiiiiiiiiiiiiiiiiii lazima alale kwenye hekaru nyeupe.😂😂😂😂😂
Jamami jamani nyie hawa wapuuzi walijuwa kutuchezea.

Lakini kitu nilichojifunza kwenye ile ripot ya kuachia ngazi kabisa mr bright hakuwa na hatia so wakati tunamsugua na stil waya huko kwenye matawi tulikuwa sahihi.

Kilichoniuma ni mimi kujikuta chini ya mpuuzi mmoja mr culture .lakini hata hivyo kwenda kule kulinisaidia kujua upuuzi wanaoufanya akina, kijana msema sana na mr new culture.

Kingine nilichoona kwenye ile ndoto, kijana msema sana, aliyekuwa kapoteza daftari lake hivi karibuni, hakupenda mr new culture ampokee mr bright kwa wakati ule. Alikubali shingo upande. Mambo yaliisha aliye pata u CEO akapata maisha yakaendelea.

Lakini baada ya mwaka moja kijana msema sana akanasa kwa mr born in town. Je wewe ungekuwa late CEO mzalendo unaona wateja wa kampuni wakichezewa na mr born in town, mr new culture, na kijana msema sana je ungekaa kimya?

Kwakweli hata mimi ningemfundisha adabu.kwa kufatia rules za uongozi zilivyo ngumu. Baada ya kuota haya yote nikastuka usingizini.
 
Na ilikuaje yule Dr asla akajiuzulu baada ya mr Culture kumpokea mr Bright?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…