Are you serious?Huku tuliko ni saaa 17:03 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] najua huko mmelala saa hii,[emoji1787] anyway na ki oppo changu old model[emoji1787] mambo ni mengi sana, kuna watu wanataka simulizi iendelee wengine wanataka wapate na mambo current na yajayo!! Kimya hiki kina mambo mazuri yaja![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha tumalizie tour[emoji2957]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Sawa tunasubiri bt usisahau kununua OPPo mpyaHuku tuliko ni saaa 17:03 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] najua huko mmelala saa hii,[emoji1787] anyway na ki oppo changu old model[emoji1787] mambo ni mengi sana, kuna watu wanataka simulizi iendelee wengine wanataka wapate na mambo current na yajayo!! Kimya hiki kina mambo mazuri yaja![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha tumalizie tour[emoji2957]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
c niliwaambia mtu yuko NYC au mmesahau post yngu pale juu.....[emoji115][emoji115]Huku tuliko ni saaa 17:03 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] najua huko mmelala saa hii,[emoji1787] anyway na ki oppo changu old model[emoji1787] mambo ni mengi sana, kuna watu wanataka simulizi iendelee wengine wanataka wapate na mambo current na yajayo!! Kimya hiki kina mambo mazuri yaja![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha tumalizie tour[emoji2957]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Wwe huyo Jiwe kakufamyia uovu gani!? Mbona mnapenda kumsingia Marehemu kwa Mambo ya kijinga!? Mbona alivyokua hai hamkusema haya yote!?Sababu kubwa ya Jiwe kutokupendwa na watu wengi pamoja na kusemwa vibaya ni uovu wake enzi za utawala wake
Alipokuwa Hai alisemwa, na walidiriki kumsemea waliishia kupotezwa. Acha watu watumie Uhuru wao vizuri wa kuhoji na kujadiliana.Wwe huyo Jiwe kakufamyia uovu gani!? Mbona mnapenda kumsingia Marehemu kwa Mambo ya kijinga!? Mbona alivyokua hai hamkusema haya yote!?
Toka akiwa hai mimi nimekuwa napinga uovu wake hasa kuua watu na kuiba pesa za umma na kijificha kwenye kichaka chenu (Wanyonge). Ndiyo maana hata siku ya mwaka mmoja baada ya kifo chake serikali haikutaka hata kujihusisha.Wwe huyo Jiwe kakufamyia uovu gani!? Mbona mnapenda kumsingia Marehemu kwa Mambo ya kijinga!? Mbona alivyokua hai hamkusema haya yote!?
Sawa deep informer.Huku tuliko ni saaa 17:03 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] najua huko mmelala saa hii,[emoji1787] anyway na ki oppo changu old model[emoji1787] mambo ni mengi sana, kuna watu wanataka simulizi iendelee wengine wanataka wapate na mambo current na yajayo!! Kimya hiki kina mambo mazuri yaja![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha tumalizie tour[emoji2957]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Labla New York ya Mbagala Kimbangulilec niliwaambia mtu yuko NYC au mmesahau post yngu pale juu.....[emoji115][emoji115]
Useme ili akupoteze sio,wakina Saanane na Gwanda wapo wapi?Wwe huyo Jiwe kakufamyia uovu gani!? Mbona mnapenda kumsingia Marehemu kwa Mambo ya kijinga!? Mbona alivyokua hai hamkusema haya yote!?
Naona fanani unaongeza ubunifu wa kuteka hadhila.Huku tuliko ni saaa 17:03 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] najua huko mmelala saa hii,[emoji1787] anyway na ki oppo changu old model[emoji1787] mambo ni mengi sana, kuna watu wanataka simulizi iendelee wengine wanataka wapate na mambo current na yajayo!! Kimya hiki kina mambo mazuri yaja![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha tumalizie tour[emoji2957]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Hebu tuletee mapya na yajayo,hii kiu tulionayo sio ya kitotoHuku tuliko ni saaa 17:03 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] najua huko mmelala saa hii,[emoji1787] anyway na ki oppo changu old model[emoji1787] mambo ni mengi sana, kuna watu wanataka simulizi iendelee wengine wanataka wapate na mambo current na yajayo!! Kimya hiki kina mambo mazuri yaja![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha tumalizie tour[emoji2957]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Hakikisha wewe ni mtakatifu.Binafsi nilifurahi sana baada ya kusikia magu kafa. Mwaka huu ilipofika tarehe ya kifo chake nilisherekea pia na mwakani nitasherehekea.
Alikuwa muovu sana na tunazidi kumuombea mungu aongeze moto ili aungue vizuri.
acha sifa za kijingaBinafsi nilifurahi sana baada ya kusikia magu kafa. Mwaka huu ilipofika tarehe ya kifo chake nilisherekea pia na mwakani nitasherehekea.
Alikuwa muovu sana na tunazidi kumuombea mungu aongeze moto ili aungue vizuri.
hahahaha na kwa post hy lzm wajae na viingilio vyao mkononiNaona fanani unaongeza ubunifu wa kuteka hadhila.
siku hizi yana uhakika wa kulaza elfu 3 kwa siku.Hakikisha wewe ni mtakatifu.
mrudi nyumbani sasa.Huku tuliko ni saaa 17:03 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] najua huko mmelala saa hii,[emoji1787] anyway na ki oppo changu old model[emoji1787] mambo ni mengi sana, kuna watu wanataka simulizi iendelee wengine wanataka wapate na mambo current na yajayo!! Kimya hiki kina mambo mazuri yaja![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha tumalizie tour[emoji2957]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app