Dark wealth, dark path, is the only way to rich

Kama kwa ujinga wako nimeandika mimi ni tajiri, kama kwa ujinga wako hujaelewa nilichosema.
Kama kwa ujinga wako transaction kubwa unahisi ni matrilioni tu,Au mabilioni.
Au kama kwa ujinga wako Unahisi kila atayekuja hapa kucoment ni tajiri.
Uuu mjinga saaaana. Na pita comment yangu. Ila nimeandika nilichoandika na sifuti kwasababu ya ujinga wako.
Ila nina shughuli siwazi shetani, nabadirisha mboga nyumbani. Naenda kanisani. Na watoto wangu wako shule, Mama yangu anaishi vizuri,nyumbani kuna mifugo, najaza gari yangu mafuta, kila siku niko mjini, nakunywa pombe nazotaka muda wwte, na bado sijawahi fikiria shetani ndio chanzo cha pesa. Fanya kazi, mwehu wewe. Au abudu shetani tuone hizo hela zako au utajiri wako. Tusipangiane
 

The Bible portrays Satan as a liar and the father of lies. Therefore, it's unlikely that he meant what he said when offering Jesus the kingdoms of the world. His intentions were to tempt Jesus away from his God-given path and lead him into sin.
The Bible emphasizes that Satan's power is limited, and he cannot offer what he does not possess. The true authority over all things belongs to God.
 
oya acha nae huyo alishasemaga atatoa hata nnya ili awe tajiri, hamna mtu humo mkuu
 
Ndivyo ilivyokuwa majira saba kwakuwa uumbaji ulikuwa kwenye uteka ndo maana hata Yesu hakubisha kwakuwa alikuwa anajua mpaka Muumba aje ndipo mifumo iliyotangulia kinyume na atendae kwa haki itaondolewa.Rejea

Isaya 65:17
Maana, tazama, mimi naumba mbingu mpya na nchi mpya, na mambo ya kwanza hayatakumbukwa, wala hayataingia moyoni.

2Petro 3:12-13
mkitazamia hata ije siku ile ya Mungu, na kuihimiza; ambayo katika hiyo mbingu zitafumuliwa zikiungua, na viumbe vya asili vitateketea na kuyeyuka?

13 Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake.

Kwa wasioelewa ni kwamba mbingu au mifumo iliyotangulia ilikuwa ya mauti na Joka (ufunuo 11:7)na malkia wa mbinguni (yeremia 44:17-18)ndio walikuwa wanazicontrol.

Ndo maana kuna mataifa Mungu wao ni nyoka aka dragon wengine vita na wengi wao bila kujua alikuwa huyo malkia wa mbinguni.

Na walikuwa wanatumia mistari kwenye kitabu (biblia) kuweka maagano yao kinyume na Muumba mfano wanasema ni haki yao kutawala sababu giza lilitangulia nuru rejea

Mwanzo 1:2
Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

So mitume na manabii wote waliotangulia hakuna aliyewahi kuvuka hapo.Ndo mana ilikuwa ngumu kwa atendaye kwa haki (msema kweli,muaminifu) kuwa tajiri sababu mifumo iliyokuwepo ilikuwa kinyume nae ila sasa ni majira ya Muumba,amekuja kututoa kweny uteka huo.
 
Hapa umeingia kwenye haki ya binadamu ya kuabudu na kuamini, hoja mezani ni nini? Na zaidi Huna haki hio ya kumuambia mtu ajisalimishe kwa mtu ambaye wewe unamuamin kua ni ukomboz wako, wewe kuabudu na kumuamini unaemuamini haikupi wewe haki na mamlaka ya kumuhamisha mtu aaamini nakuabudu wewe unachokiamini na kuabudu,,huoni kwamba unataka kufanya usanii ..huu ndio utapeli unaofundishwa saivi kuwajengea hofu watu haswa maskini na mafukara kwamba asipoingia ulipo atapata matatizo
Mimi kwanza kubishania mambo ya imani naona ni dalili mbaya za kifukara , hojamezani ni ways spiritually to obtain wealth
 
You are out of your mind!

Portrays? How can you portray and accuse someone of lies withour proper evidences

How can u say was unlikely? [emoji23]

Read here

Again, the devil took him to a very high mountain and showed him all the kingdoms of the world and their splendor. “All this I will give you,” he said, “if you will bow down and worship me.”

He replied, “Away from me, Satan! For it is written: ‘Worship the Lord your God, and serve him only.

I dont see where your bible project says he reject that the wealth and riches are from him
 

vyote ni mali ya BWANA, vinavyoonekana na visivyoonekana. Hata shetani mwenyewe ni mali ya Bwana. Ni kiumbe flani hivi mwasi.
 
Safi kumbe shule imo vizuri tu!

Nb; Amini unachokiamini usitake kutuaminisha kuwa utajiri anao shetani Wakati mimi naamini utajiri upo kwa Mungu.
 
Hagai 2:8, ambalo linasema:

"Fedha ni mali yangu, na dhahabu ni mali yangu, asema Bwana wa majeshi."
 
Vijana wanadanganyana sana,hivi hivi kama masihara ndiyo wengine huishia kupasuliwa speaker kisa wapate hela utajiri wenyewe hawaupati wanaishia kuongeza idadi ya mashoga mtaani.

Kijana wa leo aliyejaa misuli ni rahisi sana kuliwa taco kisa utajiri hawajui umuhimu wa kutumia nguvu na maarifa waliyopewa
 
Vijana wanadanganyana sana,hivi hivi kama masihara ndiyo wengine huishia kupasuliwa speaker kisa wapate hela.

Kijana wa leo aliyejaa misuli ni rahisi sana kuliwa taco kisa utajiri hawajui umuhimu wa kutumia nguvu na maarifa waliyopewa
Nilishasema na nasema tena ukionamtu anajibu hoja na hoja yake ya kwanza ni kufirana, basi ni mdau. Sizungumzii tabia hio uliyonayo ya anal sex..jadili mada mezani.
 
Nilishasema na nasema tena ukionamtu anajibu hoja na hoja yake ya kwanza ni kufirana, basi ni mdau. Sizungumzii tabia hio uliyonayo ya anal sex..jadili mada mezani.
Sasa mada mezani inasema “Dark wealth sijui dark path” hautaki watu tugusie moja wapo wa sharti mnalopewa huko unasema mimi mdau.

Wewe unadhani kufirana ni jambo la Kimungu hata lisiwepo ktk masharti ya hela za shetani unazozitamani?
 
We bado mtoto mdogo, tena bitozi nyangema. Huwez kujua lolote. Huna hoja. Elimu yako ndogo sana. Ufaham wako ni sifuri. Subiri ukuekue ujue ya ulimwe

We bado mtoto mdogo, tena bitozi nyangema. Huwez kujua lolote. Huna hoja. Elimu yako ndogo sana. Ufaham wako ni sifuri. Subiri ukuekue ujue ya ulimwengu.
we pepo unangalia majina tunayoandika humu jf na hiz fake id kweli ibilisi ni shetani
 
Kwahiyo nawe kakupa utajiri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…