pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Aah wapi, acha zako wewe, wazaramo nawafahamu vizuri tu. Ndio hao hapo kando wanachapa gumzo na kukenua kenua. Huyo hapo aliyechapilia shati lake ndani ya suruali, kama kijana wa kwaya, ili ajibanze dani ya basi kupitia dirishani ni msukuma haswaaa! Amezuru Dar kwa shemeji ila tabia ni zile zile. [emoji23] Usije ukaniua bure ndugu yangu, ni utani tu. [emoji1]Haha, wewe ndio huijuwi Tanzania kabisaaaaa. Hapo ni Dar kwa Wazaramo, wasukuma wako Mwanza.
Haha, sikujuwa unaweza kuangalia makalio ya mtu ukajuwa kabila lake [emoji23]Aah wapi, acha zako wewe, wazaramo nawafahamu vizuri tu. Ndio hao hapo kando wanachapa gumzo na kukenua kenua. Huyo hapo aliyechapilia shati lake ndani ya suruali, kama kijana wa kwaya, ili ajibanze dani ya basi kupitia dirishani ni msukuma haswaaa! Amezuru Dar kwa shemeji ila tabia ni zile zile. [emoji23] Usije ukaniua bure ndugu yangu, ni utani tu. [emoji1]
Caaitani! Unamaanisha misuli au? [emoji1]Haha, sikujuwa unaweza kuangalia makalio ya mtu ukajuwa kabila lake [emoji23]
Eh, hiyo hiyo musuli ya chini ya kiuno. Kha hii convo sijuwi inaenda wapi [emoji23][emoji23][emoji23]Caaitani! Unamaanisha misuli au? [emoji1]
😕 Mimi hata sikuwa nimetaja wala kuona makalio. [emoji15] Aisee, acha yaishie hapo. Mimi najua makalio ni kwa wanawake ndugu yangu, na ingekuwa ni mwanamke, ningekuwa naona hayo makalio pekee yake. 😎 Nawa oo! But why Mwanzi1, why???Eh, hiyo hiyo musuli ya chini ya kiuno. Kha hii convo sijuwi inaenda wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Serikali yetu iwe makini sana isije kuga huu mkanganyiko usioeleweka.
Dodoma/Dar. Events along the Dar es Salaam Rapid Transit (Dart) yesterday were a clear manifestation that the public rapid transport system was facing serious operational challenges.
This started with Udart drivers going on a strike claiming having not been paid salaries for two months, a move that caused thousands of city commuters to get stranded at terminals and general disruption of services.
In another development, President John Magufuli yesterday issued a stern warning against (Dart) managing director Ronald Lwakatare.
Dar transport in chaos over Udart troubles