Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Nguya ameyasema hayo Jumapili Septemba Mosi, 2024 alipokuwa akizungumza na wazazi, walimu na wanafunzi kwenye mahafali ya Shule ya Msingi Kwa Muhuzi iliyopo Dakawa wilayani Mvomero, Mkoa wa Morogoro.
Nguya amekemea pia tabia ya baadhi ya wazazi kutowahimiza watoto wao kwenda shuleni badala yake huwatumikisha kazi za kulima mashamba ya mpunga.
Soma Pia: Naomba ufafanuzi kuhusu akili na uelewa wa watoto kwenye makuzi yao
Amesema jambo hilo limeendelea kuongeza utoro na kusababisha uote mizizi na baadhi yao kuacha kabisa masomo.