M maranatha Member Joined Feb 14, 2012 Posts 58 Reaction score 11 Aug 21, 2012 #1 Kwa anayefahamu tafadhari,nafasi za kazi za data entry baada ya sensa zinatangazwa lini?
M mbenje New Member Joined May 18, 2012 Posts 4 Reaction score 1 Aug 21, 2012 #2 wa2 walisha apply be4 hata kazi yaukarani haijatangazwa hivyo basi kwa tetesi nilizozipata hiyo nafasi haitatangazwa. applicant ni wengi.
wa2 walisha apply be4 hata kazi yaukarani haijatangazwa hivyo basi kwa tetesi nilizozipata hiyo nafasi haitatangazwa. applicant ni wengi.
magosha JF-Expert Member Joined Apr 25, 2012 Posts 689 Reaction score 89 Aug 21, 2012 #3 walishajipatia tayari
M maranatha Member Joined Feb 14, 2012 Posts 58 Reaction score 11 Aug 21, 2012 Thread starter #4 mischa said: week 2 zilizopita ndo ilikuwa deadline hawakutangaza takwimu wameshachukua watu wao na ndugu zao... Click to expand... da! mwaka huu imekula kwangu kuhesabu watu nimekosa,nilitegemea hii nitabahatisha coz niliifanya 2002 nayo hola najisikia kulia coz inamalipo mazuri sana
mischa said: week 2 zilizopita ndo ilikuwa deadline hawakutangaza takwimu wameshachukua watu wao na ndugu zao... Click to expand... da! mwaka huu imekula kwangu kuhesabu watu nimekosa,nilitegemea hii nitabahatisha coz niliifanya 2002 nayo hola najisikia kulia coz inamalipo mazuri sana
P pua kubwa Member Joined Aug 22, 2012 Posts 6 Reaction score 3 Aug 22, 2012 #5 kwani wameshachukua watu wa kazi hyo? Mbona mm ndo naanza mchakato