wa kibondemaji
Member
- Aug 1, 2024
- 30
- 53
Ongea na afisa tawala wako, atakupa way throughHabari wakuu naombeni mimi ni CO muajiriwa serikalin kutokana na kuwa na muda mwingi kazin kwangu nimewaza kusoma kozi ya data management pale open university bika kuomba ruhusa kazin,vipi kuhusu upatikanaji wa ajira au recategorization nitakapomaliza degree yangu?
Fanya kozi ya FND hiko more related itakulipa zaidi.Habari wakuu naombeni mimi ni CO muajiriwa serikalin kutokana na kuwa na muda mwingi kazin kwangu nimewaza kusoma kozi ya data management pale open university bika kuomba ruhusa kazin,vipi kuhusu upatikanaji wa ajira au recategorization nitakapomaliza degree yangu?
Una maanisha hii ni rahis kupata michongo mipya?Fanya kozi ya FND hiko more related itakulipa zaid
Una maanisha hii ni rahis kuoata mchongo mpya?Fanya kozi ya FND hiko more related itakulipa zaid
Dah kweny halmshaur zetu hiz sio rahis mtu kukupa connecrion ya kusoma kitu flan anajua ukirud utamzidiOngea na afisa tawala wako, atakupa way through