Data sciene

Data sciene

Joined
Apr 12, 2018
Posts
71
Reaction score
33
Hii course ya Data Science ndio ikoje inamaokoto na je ajira zake zinapatilana wapi?
Screenshot_20240115-112858.jpg
 
Mkuu unaanza kuwaza maokoto kabla hata hujaripoti chuo!

Haya makitu hayana formula mkuu. Hakuna kozi ya University isiyo na maokoto ni swala la muda tu. Najua watu watakimbilia kusema ualimu ila ukianza kusema habari za ualimu kichwani kwako weka picha ya Majaliwa Kassim Majaliwa na afro lake jeusiiìiii

Swala la ajira ni mtambuka sana. Sasa hivi hata madokta kibao na na mainjinia wapo mtaani wanazunguka na bahasha za khaki
 
Back
Top Bottom