ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,938
- 1,632
Data za mwisho wa mwaka wa 2021 ziki onesha viwango vya kinishati ya umene Tanzania pamoja na mataifa mengine walicho zalisha kwa mwaka.
Data hizo zili tawaliwa kwa taifa la China kwa kuongoza katika uzalishaji mwingi wa nishati za umeme, liki fuatiwa na taifa la marekani baadae India na mataifa mengine yakifuata.
Huu hapa mlolongo mzima wa mwaka 2021 kwa msaada wa Wikipedia kupitia wizara za nishati za mataifa husika.
[ Kwa mwaka wa 2021 taifa letu Tanzania lili zalisha Megawatts 1605.86 ].
Zingatia kuwa:
1 Gigawatts = 1000 Megawatts
Maswali:
1. Je sisi kama taifa tuna jifunza nini kwa hayo mataifa yaliyo tuzidi katika kiwango cha uzalishaji wa nishati ya umeme kwa mwaka ?
2. Je sisi kama taifa ni ipi mipango yetu ipi katika matumizi ya makaa yetu ya mawe katika uzalishaji wa umeme ?
3. Je sisi kama taifa tume ridhia kuwa na hiki kiwango kidogo cha uzalishaji wa nishati ya umeme kwa mwaka huku tuki pambana kutafuta wawekezaji wakubwa ?
4. Je ipi mipango yetu kuhusu madini ya uranium tuliyo nayo na uzalishaji wa umeme ?
5. Je ipi mipango yetu katika uzalishaji wa nishati ya umeme kwa njia ya geothermal,jua,upepo na pia kwa njia ya gesi ?
6. Je sera zetu katika upande wa nishati zina endana na kasi ya dunia kwa sasa upande wa nishati ?
Data hizo zili tawaliwa kwa taifa la China kwa kuongoza katika uzalishaji mwingi wa nishati za umeme, liki fuatiwa na taifa la marekani baadae India na mataifa mengine yakifuata.
Huu hapa mlolongo mzima wa mwaka 2021 kwa msaada wa Wikipedia kupitia wizara za nishati za mataifa husika.
[ Kwa mwaka wa 2021 taifa letu Tanzania lili zalisha Megawatts 1605.86 ].
Zingatia kuwa:
1 Gigawatts = 1000 Megawatts
Maswali:
1. Je sisi kama taifa tuna jifunza nini kwa hayo mataifa yaliyo tuzidi katika kiwango cha uzalishaji wa nishati ya umeme kwa mwaka ?
2. Je sisi kama taifa ni ipi mipango yetu ipi katika matumizi ya makaa yetu ya mawe katika uzalishaji wa umeme ?
3. Je sisi kama taifa tume ridhia kuwa na hiki kiwango kidogo cha uzalishaji wa nishati ya umeme kwa mwaka huku tuki pambana kutafuta wawekezaji wakubwa ?
4. Je ipi mipango yetu kuhusu madini ya uranium tuliyo nayo na uzalishaji wa umeme ?
5. Je ipi mipango yetu katika uzalishaji wa nishati ya umeme kwa njia ya geothermal,jua,upepo na pia kwa njia ya gesi ?
6. Je sera zetu katika upande wa nishati zina endana na kasi ya dunia kwa sasa upande wa nishati ?