Anhaa...ila anajitahidiNi mswedish ambaye baba na mama ni Watanzania.
Nadhani ni watu wa Tanga hawa.
Namuendea google mda sio mrefuHuwezi ukasema ni mainstream ila ashafanya kazi... hizo ni baadhi.
Kuna moja ashafanya na Barnaba.
Saana mkuu watanzania wengi wapo ostadal na wanazipenda sana show zakeNdiko unaendaga ku-dance Bugg ni ni...
Anajitahidi kukisambaza kiswahili.
Naona bado hajulikani..unajua anajiitaje insta?Niletee mlishoo
Anajiita The_dat ..... Coverage bado bado hajaipata kivile....Naona bado hajulikani..unajua anajiitaje insta?