the_dati ana followers 34.9kAnajiita The_dat ..... Coverage bado bado hajaipata kivile....
Anafollower wangapi?
Sijajua chimbo lake haswa nimemfahamia kwenye emergenza bands festival.Kuna Nuru the light na yule Sarah aliimba tanesco msikate umeme.
Ndio tunawajua, huyo Dati sijui yuko chochoro gani.
By the way, kuna Kina christian bella, ben kinyaiya na wasanii kibao wakubwa tu wako huko wanataga au wengine walirudisha majeshi.
Kuna wakongwe Kina Vumbi Dekula wanapambana na hali yao
Ndiko unaendaga ku-dance Bugg ni ni...
Anajitahidi kukisambaza kiswahili.
Sina shida na iweje ila unapokuwa hata Iceland au sehemu yoyote mbali na nyumbani ukaskia mtu anaimbisha lugha mama yako you feel proud.kitangazwe ili iweje?
Utanzania ni pamoja na lugha yake na kila kilichopo tz.Mi siaelewa hapo uliposema anaueneza utanzania, hivi ndio kufanyaje?
Huyu nae anaimba boss au unamzungmzia Mange?Uyo si mangi kitambi??
Kuna Nuru the light na yule Sarah aliimba tanesco msikate umeme.
Ndio tunawajua, huyo Dati sijui yuko chochoro gani.
By the way, kuna Kina christian bella, ben kinyaiya na wasanii kibao wakubwa tu wako huko wanataga au wengine walirudisha majeshi.
Kuna wakongwe Kina Vumbi Dekula wanapambana na hali yao
Hiyo pub iko Tanzania au Sweden?Nimewahi hudhuria show yake ljusnan pub
Ljusnan IKEA SwedenHiyo pub iko Tanzania au Sweden?
Ljusnan IKEA Sweden
Hilo la usanii mkubwa atakujibu babu.Ben Kinyaiya ni msanii mkubwa? Msanii wa nini? Halafu pale Kinondoni ndio nje ya nchi?
Mkuu kuna jamaa aliletaga uzi wa mshkaji kama sikosei ni miondoko ya reg Sweden au Norway nimetafuta sanaNipo namtumbo bro.... Long time lkn
Hauna hata kimoja unachokikumbuka kingekusaidia kumtafuta aidha jina la track.Mkuu kuna jamaa aliletaga uzi wa mshkaji kama sikosei ni miondoko ya reg Sweden au Norway nimetafuta sana
Uwo uzi
Any idea broo
Wanaoimbia njaa ndiyo kina nani mkuu? [emoji1] [emoji1]Hongera zake, inaonekana haimbii njaa.
Ben ashaishi Stockholm we lofa, mtangazaji mwanamuziki na unamfahamu.Ben Kinyaiya ni msanii mkubwa? Msanii wa nini? Halafu pale Kinondoni ndio nje ya nchi?