Dating 4/5 moths sitaki kumsapoti kumlipia gharama za kuhamia kwa nyumba ya kupanga

Dating 4/5 moths sitaki kumsapoti kumlipia gharama za kuhamia kwa nyumba ya kupanga

TZ-1

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
4,321
Reaction score
7,501
Based on my view point
UTANGULIZI
Huyu mdada niliwahi mjua before kwenye mkoa x ndani ya mwaka huu, tuliwasiliana kiasi huku nikiwa nagusa mada kwa juu juu za kuomba mahusiano. Mwaka huu bahati nzuri amekuja kupata kazi katika Wilaya ambayo nafanya kazi, hapo hapo nikampata kiurahisi kabisa , sikutaka afikie kwangu alipokelewa na mmoja wawafanyakaz wenzie.

Sifa za ziada
Huyu mdada kiukweli ni mrembo/mzuri kisula kimaumbile kiheshima na hata kwenye matumizi ya ulimi kiukweli anajua nini anafanya
  • Ajawahi nipiga kizinga ila kiume huwa na najiongeza kwenye issue za kawaida
  • Si mchoyo tangu tumekubaliana
  • Sijawahi hisi kuwa ana cheat .

Mimi niliweza kutoa huduma ndogo ndogo za hapa na pale nampenda lakini sitaki kujiendekeza.

Kipindi cha 2/3months alikuw anaishi na mfanyakazi mwenzake akiwa anatafuta chumba , sasa room amepata na anaelekea kuhamia , mimi sina utayari kbsa wakumsapoti katka kodi wala godoro .

Naona kama kutoa msaada wa kununua godoro na kulpa kodi utakuja npa stress 😬

NB
Hawajahi niomba kuwa nimsaidie kulipa hiyo kodi au godoro lakn najishtukia.
 
Huyu dada ni mzuri...
Hajawahi kukupiga kizinga....
Sio mchoyo.....
Hujawahi kuhisi kuwa anacheat...

Wewe hutaki kumsaidia kununua godoro wala kulipa kodi. Unaweza usifanye kila kitu ila mpige tafu hata kidogo au huna uwezo kabisa? Kama una uwezo na anajua na humsaidii basi wewe ni mchoyo, humpendi na humhurumii.

Dada kama unapita humu ndani ebu achana na kiumbe kama hiki hakina sifa za ziada.

Mtu hakupigi kizinga na unajua kabisa anahitaji msaada. Umeminya tu siku akitokea mtu amjali kidogo tu ndio ukurasa wako utakuwa umefungwa rasmi
 
Hawezi kukuomba kama sio mtu wa hivyo and pia atakua amejipanga tayari ndio maana anataka kuhama coz angekua hajajipanga lazima angeliweka mezani kwa lengo la kuomba ushauri ila kama amekupa kwa njia ya taarifa means anajiweza huyo.

Usijipe majukumu yatakayomfanya ajione yeye ni wajibu wako, itakucost bro.

Akikuomba msaidie.
 
Huyu dada ni mzuri...
Hajawahi kukupiga kizinga....
Sio mchoyo.....
Hujawahi kuhisi kuwa anacheat...

Wewe hutaki kumsaidia kununua godoro wala kulipa kodi. Unaweza usifanye kila kitu ila mpige tafu hata kidogo au huna uwezo kabisa? Kama una uwezo na anajua na humsaidii basi wewe ni mchoyo, humpendi na humhurumii.

Dada kama unapita humu ndani ebu achana na kiumbe kama hiki hakina sifa za ziada.

Mtu hakupigi kizinga na unajua kabisa anahitaji msaada. Umeminya tu siku akitokea mtu amjali kidogo tu ndio ukurasa wako utakuwa umefungwa rasmi
Mkuu kutokupg kznga ndio....

Maisha nimeishi nae kishua kwa kutaka mimi (kwasiku kulamba 30,000/ hadi matumiz ya 70,000- 150,000/-kwa wiki ni kawaida katk spending

Kama chai nauli , weekend matumiz n.k
 
Sijaelewa theme ya andiko lako
Mtu anaans maisha unashindwa nini kumsapoti
Huo sio ujanja ni ubahili usio na maana
 
Based on my view point
UTANGULIZI
Huyu mdada niliwahi mjua before kwenye mkoa x ndani ya mwaka huu, tuliwasiliana kiasi huku nikiwa nagusa mada kwa juu juu za kuomba mahusiano. Mwaka huu bahati nzuri amekuja kupata kazi katika Wilaya ambayo nafanya kazi, hapo hapo nikampata kiurahisi kabisa , sikutaka afikie kwangu alipokelewa na mmoja wawafanyakaz wenzie.

Sifa za ziada
Huyu mdada kiukweli ni mrembo/mzuri kisula kimaumbile kiheshima na hata kwenye matumizi ya ulimi kiukweli anajua nini anafanya
  • Ajawahi nipiga kizinga ila kiume huwa na najiongeza kwenye issue za kawaida
  • Si mchoyo tangu tumekubaliana
  • Sijawahi hisi kuwa ana cheat .

Mimi niliweza kutoa huduma ndogo ndogo za hapa na pale nampenda lakini sitaki kujiendekeza.

Kipindi cha 2/3months alikuw anaishi na mfanyakazi mwenzake akiwa anatafuta chumba , sasa room amepata na anaelekea kuhamia , mimi sina utayari kbsa wakumsapoti katka kodi wala godoro .

Naona kama kutoa msaada wa kununua godoro na kulpa kodi utakuja npa stress 😬

NB
Hawajahi niomba kuwa nimsaidie kulipa hiyo kodi au godoro lakn najishtukia.
Yeah!
Mfanye mchumba umuoe ka' unampenda na umeridhika naye.

Kuanza kumgharamia kabla ya ndoa ni sawa na kusomesha mchumba, siyo majukumu yako na itakukost.

Baadaye mambo yakiparaganyika usijeanza kujilaumu kwa gharama ulizopoteza zisizoweza kurejeshwa.
 
Kama hujisikii kumsaidia muache wala sio kesi na uzuri hajakuomba. Mnakuaga na madharau sana mbeleni mkija kuzinguana utaskia bila mimi usingefika hapo mara nirudishie vitu vyangu. Muache ajipambanie mwenyewe.
 
Kama hujisikii kumsaidia muache wala sio kesi na uzuri hajakuomba. Mnakuaga na madharau sana mbeleni mkija kuzinguana utaskia bila mimi usingefika hapo mara nirudishie vitu vyangu. Muache ajipambanie mwenyewe.
Sawa ......
 
Huyu dada ni mzuri...
Hajawahi kukupiga kizinga....
Sio mchoyo.....
Hujawahi kuhisi kuwa anacheat...

Wewe hutaki kumsaidia kununua godoro wala kulipa kodi. Unaweza usifanye kila kitu ila mpige tafu hata kidogo au huna uwezo kabisa? Kama una uwezo na anajua na humsaidii basi wewe ni mchoyo, humpendi na humhurumii.

Dada kama unapita humu ndani ebu achana na kiumbe kama hiki hakina sifa za ziada.

Mtu hakupigi kizinga na unajua kabisa anahitaji msaada. Umeminya tu siku akitokea mtu amjali kidogo tu ndio ukurasa wako utakuwa umefungwa rasmi
Msaada haulazimishwi na binti kutoomba pesa kwa mwanaume ambaye si mme wake ndio standard disciplinary behaviour. Mwanaume yeyote anayeona kuwa hiyo tabia ni ya kimalaika sana basi hajiamini kwenye misimamo ya mahusiano yake
 
Hapo juu umeandika...."Sijawahi hisi kama ana cheat"...hakuna mahusiano ya kimapenzi kati yenu sasa shida nini?..
 
Umaskini tu unakusumbua,yaani sifa zote ulizompa unashindwa godoro ya laki tatu?
 
Back
Top Bottom