jamani hemu tuacheni utani utani. Hivi mshikaji kweli kafa aundio anakula kuku marekani kafanyiwa mask sajin na bongo anakuja kama kawa.
Si mwengine bali ni aliyekuwa gavana wa benk kuu baada ya kuiba mipesa akafariki angalia nakala ya picha ninayo iwaza na barua halisi aliyo mtumia presdar