Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kamgi anajua kunengua🤣 wazee mwenye ile video naomba aweke basi hapa nicheke,Mwambie apunguze mwili,mwisho wa siku atakuwa km Steven Wasira,kangi lugola au braza k
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Khaaa unataka uone mauno ya mzee wa watu ili iwejekamgi anajua kunengua[emoji1787] wazee mwenye ile video naomba aweke basi hapa nicheke,
Tanzania WikiLeaks huko Twita imesema kuwa huyu ni kifaa cha mammy! akatoa na picha wamekumbatiana enzi hizo. sijui kama ni kweli au majungu. Akaendelea kusema kuwa sahau kumpeleka mahakamani
Inasemekana ana siri nyingi na akizitoa tunaweza kumpoteza mapema.Tanzania WikiLeaks huko Twita imesema kuwa huyu ni kifaa cha mammy! akatoa na picha wamekumbatiana enzi hizo. sijui kama ni kweli au majungu. Akaendelea kusema kuwa sahau kumpeleka mahakamani
we Mwanamke nimekumisi sana aisee, kwanini unanifanyia hivo mtoto wa mwenzio☺️Khaaa unataka uone mauno ya mzee wa watu ili iweje
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Wahenga tu ndo tunakuelewa.Anaongeza Kibubu kwa kupiga karanga na korosho ili wazungu wakitoka wanajaza kikombe cha kahawa.
Nimefanyaje bebe... Nimekumiss pia uko poa?we Mwanamke nimekumisi sana aisee, kwanini unanifanyia hivo mtoto wa mwenzio[emoji3526]
ulinitenga sana mpaka nimekonda,lakini ahsante kwa kusema umenimiss pia,mpaka nimepona haya mafua ya Taifa😘
Pole...haya nimekuja anza kunenepaulinitenga sana mpaka nimekonda,lakini ahsante kwa kusema umenimiss pia,mpaka nimepona haya mafua ya Taifa[emoji8]
Huyu jamaa alifaa kuwa mcheza show wa Twanga pepeta na sio kuwa RC sema ukabila na ukanda ulimbeba.
Ni kuchafua tu.. mama hata kina wema wamepiga picha kama hizo na kljk, mbowe na kuendelea ndio kusema walikuwa na mahusiano ya kimapenzi sometimes tujaribu kuwa optimistic.Tanzania WikiLeaks huko Twita imesema kuwa huyu ni kifaa cha mammy! akatoa na picha wamekumbatiana enzi hizo. sijui kama ni kweli au majungu. Akaendelea kusema kuwa sahau kumpeleka mahakamani
haya nakuja huko DM ninenepe kama Msechu🙃
Eeh msechu tenahaya nakuja huko DM ninenepe kama Msechu[emoji854]