Daudi akiwa ana play low key mtaani

Tanzania WikiLeaks huko Twita imesema kuwa huyu ni kifaa cha mammy! akatoa na picha wamekumbatiana enzi hizo. sijui kama ni kweli au majungu. Akaendelea kusema kuwa sahau kumpeleka mahakamani
Inasemekana ana siri nyingi na akizitoa tunaweza kumpoteza mapema.
 
Anaongeza Kibubu kwa kupiga karanga na korosho ili wazungu wakitoka wanajaza kikombe cha kahawa.
 
Tanzania WikiLeaks huko Twita imesema kuwa huyu ni kifaa cha mammy! akatoa na picha wamekumbatiana enzi hizo. sijui kama ni kweli au majungu. Akaendelea kusema kuwa sahau kumpeleka mahakamani
Ni kuchafua tu.. mama hata kina wema wamepiga picha kama hizo na kljk, mbowe na kuendelea ndio kusema walikuwa na mahusiano ya kimapenzi sometimes tujaribu kuwa optimistic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…