Daudi Kanyau ajenga msikiti na nyumba ya watoto yatima Kibaha

Huyo binti sura mashallah.

Mungu amuongezee Daudi maradufu
 
Hizi picha wakizipata waarabu waliotoa pesa zao kumfadhiri ni lazima wamuongeze pesa nyingine zaidi za kufanya hivi mara 10 zaidi. Hongera mjasiliamari mali mwenzangu. By the way hapa ni wapi? Mleta mada tujuze.
 
naomba nihukumiwe kwa haya ninayosema. huyu jamaa namjua kiundan kuliko unavyofikir, ni muuza unga mzur sana yaan ni wale wanaowatengeneza vijana na kuwatwisha unga. na anauzia hong kong, na china bara pamoja na Thailand, na mara nyingi huwa anafuatana na wanawake kama wawili watatu kwenye safar zake. daa maisha aisee kwel tumwachie Mungu. mtu anajenga mpaka msikiti? lakn pia huwa alikuwaga na duka la nguo pale mliman city pindi flan. cjui sasa.
 


Towa kwa kificho na Dhahiri! Ama kama kuna uwekezaji bora duniani basi huu uko juu!
 

Kama ni kweli basi mungu ndie ajuwae alichokifanya hapo (kujenga) kina malipo gani kwake lakini kwa watakaonufaika nao huo ujenzi wauthamini.
 

Mbona hili ni zee kama mimi tu huo ujana uko wapi sasa promo zingine bhana; hebu tujue hizo biashara zake kwanza ndio tuchangie
 

Inamaana hapa kwetu hakuna vyanzo vya kutosha vya kujipati pesa nyingi mpaka hizo unazofikiria ww? tucwe watu wa kuvunjana mioyo kila mja hujikuna anapofikia. Nampongeza kwa alichofanya kwani ni wachache hufikiria haya na khs wapi ametoa pesa na mengineyo ni mungu ndo anajua.
 

Angehonga basi wasingehoji!
 
hayupo kwenye ile listi ya mr president aliyosema anayo au ile ya gazeti la jamuhuri......sio utujengee mzikiti tu hali zetu za kiuchumi mbaya.....tujengee walau shule tuelimike shekhe......tufungue macho na fursa .....
 
Anaonekana kama Teja kiaina... wacha ajipunguzia kuni za motoni
 
Safi sana!!

Anafanya biashara gani? Isijekuwa unga!!

Lkn angejenga shule kwanza kabla ya msikiti


Atupe TIN namba yake tufuatilie ulipaji wake wa kodi, maana fedha chafu hazilipiwi kodi, na kama halipi kodi ajue hapo msikitini itakuwa bakora na ngumi kila uchao
 
Hizi picha wakizipata waarabu waliotoa pesa zao kumfadhiri ni lazima wamuongeze pesa nyingine zaidi za kufanya hivi mara 10 zaidi. Hongera mjasiliamari mali mwenzangu. By the way hapa ni wapi? Mleta mada tujuze.
zungu la unga hili.
 
hala hala tu hao watoto yatima wasigeuzwa mapunda.c tunaskia huyo kanyau ni mdau mkubwa ktk ile biashara yetu ya sembe.
 
I inspire u mr,Daudi kanyau.may allah bless u more&more.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…