Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Apumzike kwa amani. Uzuri wa toto la kisomali - Iman- ndo ulonifanya nimjue David Bowie kwa kumwonea wivu!Mwimbaji maarufu David Bowie amefariki leo baada ya kusumbuliwa na cancer kwa miezi 18..
Atakumbukwa kwa mengi. Alikuwa mume wa Iman kwa wanaomjua..
Wacha we? Na kweli umaarufu wake kwetu ulikuwa ni ImanApumzike kwa amani. Uzuri wa toto la kisomali - Iman- ndo ulonifanya nimjue David Bowie kwa kumwonea wivu!
Mwimbaji maarufu David Bowie amefariki leo baada ya kusumbuliwa na cancer kwa miezi 18..
Atakumbukwa kwa mengi. Alikuwa mume wa Iman kwa wanaomjua..
Ahsante,ila vizee navyoo
Natamani ueleze zaidiIman ashakaa sana bongo baba yake alivyokuwa anafanya kazi ubalozi wa Somalia bongo.
R.I.P David Bowie.
Natamani ueleze zaidi
maana zipo story za kila aina kumhusu Imaan
wengine wakisema amewahi jiuza kinondoni
wengine ni msomali wa Tanzania...Kenya alienda tu kwa ndugu zake
mradi hakuna story clear
Vinakula rahaaa au niseme wanawake ni ufariji kwetuAhsante,ila vizee navyoo
Natamani ueleze zaidi
maana zipo story za kila aina kumhusu Imaan
wengine wakisema amewahi jiuza kinondoni
wengine ni msomali wa Tanzania...Kenya alienda tu kwa ndugu zake
mradi hakuna story clear
Haya mambo ya kuandika "will" ni kujitabiria kifo tu. Ona sasa yaliyomkuta.Bowie aacha $100m mirathi. Aliyekuwa mke wake (Iman) atapokea nusu pamoja na nyumba waliokuwa wanamiliki New York na watoto wake wawili watagawana nusu.
Personal assistant wake atapata $2m na nanny atapewa $1m.
The Will was written in 2004
Hapana mkuu mirathi ni jambo la kawaida ili wasije ndugu wakapigania mali, isitoshe yeye kaiandika zamani.Haya mambo ya kuandika "will" ni kujitabiria kifo tu. Ona sasa yaliyomkuta.
Mawazo haya yanakujaga wakati bdo huna kitu ukipata mali na una family utajua umuhimu wakeHaya mambo ya kuandika "will" ni kujitabiria kifo tu. Ona sasa yaliyomkuta.