David Kafulila kwanini ujenzi wa viwanja vya michezo nchini haufaniki kwa ushirikiano na sekta binafsi?

David Kafulila kwanini ujenzi wa viwanja vya michezo nchini haufaniki kwa ushirikiano na sekta binafsi?

TrueVoter

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2008
Posts
3,034
Reaction score
3,032
Habari Ndugu Kafulila,

Naomba unisaidie kufahamu, ni kwa nini ujenzi wa viwanja vya michezo ukianza na ule wa Arusha na sasa huu wa Dodoma haufanyiki kwa PPP?

Michezo ni biashara na hivyo sekta binafsi inapaswa kujenga miundo mbinu ikiwemo viwanja vya michezo na kuviendesha kibiashara, mbona hilo halifanyiki?

Asante.
 
Habari Ndugu Kafulila,

Naomba unisaidie kufahamu, ni kwa nini ujenzi wa viwanja vya michezo ukianza na ule wa Arusha na sasa huu wa Dodoma haufanyiki kwa PPP?

Michezo ni biashara na hivyo sekta binafsi inapaswa kujenga miundo mbinu ikiwemo viwanja vya michezo na kuviendesha kibiashara, mbona hilo halifanyiki?

Asante.
Ni swali zuri japo Viwanja Kwa Sasa ni jambo la dharula sidhani kama sekta binafsi wanaweza kuwa tayari kwa muda huu
 
Mleta mada Azam Mbona kajenga uwanja wake bila cha PPP wala nini

Sio lazima PPP

Sema wafanyabiashara wetu wengi wanajikita tu kuwa wachuuzi wa bidhaa za viwanda vya ndani na nje na kwenye biashara za usafirishaji wa Maroli.,mabasi na daladala hawaoni fursa kwingine
 
Habari Ndugu Kafulila,

Naomba unisaidie kufahamu, ni kwa nini ujenzi wa viwanja vya michezo ukianza na ule wa Arusha na sasa huu wa Dodoma haufanyiki kwa PPP?

Michezo ni biashara na hivyo sekta binafsi inapaswa kujenga miundo mbinu ikiwemo viwanja vya michezo na kuviendesha kibiashara, mbona hilo halifanyiki?

Asante.
Kipi ambacho Kafulila amefanikisha zaidi ya utapeli tapeli tupu?
 
viwanja hivi ambavyo akicheza kengold na coastal watazamaji wanaweza kuwa say 500 kwa kiingilio cha tzs. 3,000/= hakuna mtu ataweka fedha uko.
 
Ni swali zuri japo Viwanja Kwa Sasa ni jambo la dharula sidhani kama sekta binafsi wanaweza kuwa tayari kwa muda huu
Majibu ya mtu mwenye utapiamlo kichwani..sera na kanuni zinapoandaliwa zinatoa excuse ya dharula..? ku-host fainali za Afcon ni dharula? Unaombaje wenyeji hali huna viwanja..? Si ujenge kwanza viwanja ndio uombe kuwa mwenyeji..
 
Back
Top Bottom