Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
Jitahidi na wewe ufike ukasikilize na uulize maswali sio kuzungusha tu sketi hapa Jf.Maandalizi ya upigaji kwa kikundi yanaendelea chini ya Kafulila
Siwezi kufanya huo ujinga niache kutafuta chakula Cha watoto nije kusikiliza Utapeli,Jitahidi na wewe ufike ukasikilize na uulize maswali sio kuzungusha tu sketi hapa Jf.
Bila kujifunza utajuaje? PPP ndio njia salama zaidi ya kutunza rasilimali zetu tulizopewa na MunguSiwezi kufanya huo ujinga niache kutafuta chakula Cha watoto nije kusikiliza Utapeli,
PPP ni njia mojawapo ya kisheria ya kuuza Wananchi na Mali zao
Sisi hapa Jf tunamteua Pascal Mayalla aje amsikilize na atuandikie andiko ndio tuijue PPP kwa kizalendoBila kujifunza utajuaje? PPP ndio njia salama zaidi ya kutunza rasilimali zetu tulizopewa na Mungu
Aje apigwe nondo za Kafulila kuhusu uelewa hakuna mwenye Wasiwasi na MayalaSisi hapa Jf tunamteua Pascal Mayalla aje amsikilize na atuandikie andiko ndio tuijue PPP kwa kizalendo
Lakini kila Taasisi inaanzishwa na Sheria na anayetunga Sheria ni Mbunge wako basi kama utapeli basi ulianza kwa Mbunge wakoKitaasisi cha kitapeli kinachoongozwa na tapeli.
Zee la kusimamia michongo ya watawalaTanzania shippers Council Baraza la wasafirishaji shehena Tanzània limeandaa mjadala wa wazi wa kibiashara baina ya Serikali na sekta binafsi katika Ukumbi wa Peack Cock Hotel Jijini Dar es salaam siku ya jumanne tarehe 04. 03. 2025
Mgeni rasmi katika mjadala huo atakuwa Cde David Kafulila Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini kati ya Serikali na sekta binafsi ( PPPC )
Tukio hili linakuja siku chache baada ya Rais Samia kutamka kuwa mizigo yote ya Bandari ya Tanga kwenda nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na Congo DRC zitapita katika barabara ya kulipia ya ( Toll Road ) itakayojengwa na sekta binafsi kwa mashirikiano na Serikali urefu wa km 340 Tanga -Singida.
View attachment 3255525
Nyie CHADEMA kila kitu ni Siasa tu?!!!Zee la kusimamia michongo ya watawala
Kuna gharama yoyote? Na nikitaka kushiriki nafanya nini?Tanzania shippers Council Baraza la wasafirishaji shehena Tanzània limeandaa mjadala wa wazi wa kibiashara baina ya Serikali na sekta binafsi katika Ukumbi wa Peack Cock Hotel Jijini Dar es salaam siku ya jumanne tarehe 04. 03. 2025
Mgeni rasmi katika mjadala huo atakuwa Cde David Kafulila Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini kati ya Serikali na sekta binafsi ( PPPC )
Tukio hili linakuja siku chache baada ya Rais Samia kutamka kuwa mizigo yote ya Bandari ya Tanga kwenda nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na Congo DRC zitapita katika barabara ya kulipia ya ( Toll Road ) itakayojengwa na sekta binafsi kwa mashirikiano na Serikali urefu wa km 340 Tanga -Singida.
View attachment 3255525
Wabunge wa CCM hawana nguvu yoyote. Wameshawekewa kiroho mbaya Spika analinda mpaka mume wake mpiga madili ya EWURA.Lakini kila Taasisi inaanzishwa na Sheria na anayetunga Sheria ni Mbunge wako basi kama utapeli basi ulianza kwa Mbunge wako
DuuuhCheck Usenge wa aina hii unavyotafuna Kenya
Sijui hii kama ni kweli ila sisi hatuwezi kukubali hiiCheck Usenge wa aina hii unavyotafuna Kenya
TutakuwepoTanzania shippers Council Baraza la wasafirishaji shehena Tanzània limeandaa mjadala wa wazi wa kibiashara baina ya Serikali na sekta binafsi katika Ukumbi wa Peack Cock Hotel Jijini Dar es salaam siku ya jumanne tarehe 04. 03. 2025
Mgeni rasmi katika mjadala huo atakuwa Cde David Kafulila Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini kati ya Serikali na sekta binafsi ( PPPC )
Tukio hili linakuja siku chache baada ya Rais Samia kutamka kuwa mizigo yote ya Bandari ya Tanga kwenda nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na Congo DRC zitapita katika barabara ya kulipia ya ( Toll Road ) itakayojengwa na sekta binafsi kwa mashirikiano na Serikali urefu wa km 340 Tanga -Singida.
View attachment 3255525
Huwezi kukubali kivipi na ndio kazi Kafulila na PPP wanakomalia nayo.Sijui hii kama ni kweli ila sisi hatuwezi kukubali hii