David Kafulila ni mwanasiasa au mtumishi wa serikali?

David Kafulila ni mwanasiasa au mtumishi wa serikali?

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Mara nyingi nakutana na habari za kisiasa zinazosemwa na David Kafulila, nijuavyo huyu ni mteule wa Rais asimamie taasisi ya serikali, nijuavyo hawa wateule ni tofauti na na Mawaziri ambao wanaanza kuwa na koti la ubunge yaani uanasiasa.

Hawa wa taasisi za umma si wanasiasa na kanuni za utumishi haziwaruhusu kufanya siasa japo huyu Kafulila yeye hufanya siasa.

Anayejua kipengele kinachomruhusu afanye siasa naomba anieleweshe.
 
Si mwanasiasa, ila ameteuliwa na mwanasiasa
 
Huyo ni mtumishi aliyewahi kuwa mwanasiasa...
 
Mara nyingi nakutana na habari za kisiasa zinazosemwa na David Kafulila, nijuavyo huyu ni mteule wa rais asimamie taasisi ya serikali, nijuavyo hawa wateule ni tofauti na na maeaziri ambso wanaanza kuwa na koti la ubunge yaani uanasiasa, hawa wa taasisi za umma si wanasiasa na kanuni za utumishi haziwaruhusu kufanya siasa japo huyu Kafulila yeye hufanya siasa, anayejua kipengele kinachomruhusu afanye siasa naomba anieleweshe.
SASA UNAUTENGANISHAJE UTUMISHI WA UMMA NA SIASA?

KAFULILA NI MKURUGENZI KAMA ALIVYO MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MASASI
 
Kafulila hajawahi kuacha utoto, amejaza machawa humu JF. Yaani wanaume wazima kazi yao kumlamba miguu mwanaume mwenzao.
 
Kafulila hajawahi kuacha utoto, amejaza machawa humu JF. Yaani wanaume wazima kazi yao kumlamba miguu mwanaume mwenzao.
Ana ID nyingi anajitejenya na kujichekesha.nwenyewe kwa ID tofauti tofauti
 
Mara nyingi nakutana na habari za kisiasa zinazosemwa na David Kafulila, nijuavyo huyu ni mteule wa Rais asimamie taasisi ya serikali, nijuavyo hawa wateule ni tofauti na na Mawaziri ambao wanaanza kuwa na koti la ubunge yaani uanasiasa.

Hawa wa taasisi za umma si wanasiasa na kanuni za utumishi haziwaruhusu kufanya siasa japo huyu Kafulila yeye hufanya siasa.

Anayejua kipengele kinachomruhusu afanye siasa naomba anieleweshe.
Anatumia Cheo Cha Utumishi wa Umma Cha Kamishna wa PPP kujibu brand Kisiasa.

Sijaelewa ikiwa yeye ndio wa kwanza kushika hicho Cheo au ikoje.
 
Back
Top Bottom