Superpower
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 826
- 920
Unajua huwa najiuliza Sana.Afrika ambako ni nyumbani kwa wanyama wakali Kama vile nyoka wakali Kama koboko, mamba, simba, chui na magonjwa ya kitropikia Kama malaria. Sasa huwa najiuliza huyu jamaa alizunguka vp mapori ya kipindi hicho bila kuuwawa na wanyama wakali au kuugua