Superpower
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 826
- 920
Very simple.Alitumia wenyeji katika shughuli zake na hawa walikuwa na uelewa mkubwa wa mazingira yao.La pili Ulaya ilishakuwa na muingiliano na mataifa kama ya Amerika kusini ambapo hali almost sawa na ya Africa.Kuna mambo walipata huko pamoja na magamba ya cinchona kama dawa ya malaria.Unajua huwa najiuliza Sana.Afrika ambako ni nyumbani kwa wanyama wakali Kama vile nyoka wakali Kama koboko, mamba, simba, chui na magonjwa ya kitropikia Kama malaria. Sasa huwa najiuliza huyu jamaa alizunguka vp mapori ya kipindi hicho bila kuuwawa na wanyama wakali au kuugua
kwa mara ya pili zambezi kuna kipindi imeelezwa kua alikua pekee akasaidiwa na waarabuNani alikwambia alizunguka peke yake?
shukrani nilikua najiuliza Sana dawa ya malaria before ya mseto na qunineVery simple.Alitumia wenyeji katika shughuli zake na hawa walikuwa na uelewa mkubwa wa mazingira yao.La pili Ulaya ilishakuwa na muingiliano na mataifa kama ya Amerika kusini ambapo hali almost sawa na ya Africa.Kuna mambo walipata huko pamoja na magamba ya cinchona kama dawa ya malaria.
Nadhani unafahamu chanzo cha kifo chake ni malaria.Unajua huwa najiuliza Sana.Afrika ambako ni nyumbani kwa wanyama wakali Kama vile nyoka wakali Kama koboko, mamba, simba, chui na magonjwa ya kitropikia Kama malaria. Sasa huwa najiuliza huyu jamaa alizunguka vp mapori ya kipindi hicho bila kuuwawa na wanyama wakali au kuugua
but alikua ameshatembea Sana. Lazima alikua ana dawa sema Kuna jamaa kaongelea magamba ya cinchona ambayo ni kweli yalikua yana tibu pia ni source ya quinine hadi leoNadhani unafahamu chanzo cha kifo chake ni malaria.
Unajua huwa najiuliza Sana.Afrika ambako ni nyumbani kwa wanyama wakali Kama vile nyoka wakali Kama koboko, mamba, simba, chui na magonjwa ya kitropikia Kama malaria. Sasa huwa najiuliza huyu jamaa alizunguka vp mapori ya kipindi hicho bila kuuwawa na wanyama wakali au kuugua