David Mataka aliyehukumiwa 20 Agosti, 2021 aliwahi kuhukumiwa Mwaka 2017 kwa kesi ileile na Mahakama ileile

Tumerudi yyale Yale ya awamu ya jakaya[emoji3525]
Hakuna cha awamu ya jkaya mkapa mwinyi magu...
Mbona awamu ya jkaya yoga na mramba,walipigwa mvua hadi kufanyishwa kazi
Ya kupiga deki kufagia
Hukumu za nchi hii inategemea maelewano yako na watu wa mfumo
Ukiona umehukumiwa basi kuna kukomelewa etc

Ova
 
Unajua kama hujafanya utafiti wa kutosha sio vema kutoa lawama,hukumu za mahakama ni wazi wewe nenda huko mahakamani utapewa taarifa kamili

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Dolla milion 143 mkuu sio Tsh
Kila gari moja chakavu limenunulia kwa 5.5 dollars aiseeeeee!!!!!!!
Kweli kuna umuhimu wa kuongeza tozo na kodi za mshikamano kwa kweli.
 
Kinachokusumbua mtoa mada ni kukosa elimu na kujifanya unajua wakati hujui. Hapo hakuna kesi mbili zinazofanana bali ni mashitaka mawili yanayoshabihiana. Rudi shule ukasome japo kacheti ka sheria.
Kwa mantiki hiyo tufafanulie hii inamaana kesi ya Mwanzo ilikuwa ni hasara ya bill 100 ni tofauti na hii ya hasara ya bill 70s..?
 
Nchi ina matatizo sana hii kuna mtu alinunua boti chakavu kwa bilioni 8 na haikuwahi kufanya kazi hata siku moja tokea inunuliwe na hakufanywa chochote.
Hahaa nakumbuka ilikuwa inatoka Bagamoyo to Dar ilifanya kazi kama wiki 1 tu, ilikuwa inatumia masaa 4
 

Sasa kwanini wanapoteza pesa na muda wa mahakama, sio ni bora wasingempeleka mahakamani.

Hiyo ilitakiwa iwe kesi ya uhujumu uchumi. Faini 300 billioni na miaka 10 ndani. Au kifungo cha maisha. Ndio njia sahihi ya kumaliza upigaji.
 
Hahaa nakumbuka ilikuwa inatoka Bagamoyo to Dar ilifanya kazi kama wiki 1 tu, ilikuwa inatumia masaa 4
Haikufanya kazi kabisa ilienda kwa majaribio ilitumia zaidi ya masaa matatu ilivyo rudi wakadai watakuja waliyoiunda waifanyie marekebisho ikawa ndio imetoka,halafu mtu huyo alipopata madaraka zaidi kazi yake ilikuwa ni kuwananga watangulizi wake na kudai nchi ilichezewa sana huku yeye akijiweka pembeni akijifanya ni mtakatifu.
 
Hapo ndipo napoyapendea mafisadi yana umoja kweli.

Mambo yakiaribika kuna ‘fall guy’ ila wakipata nafasi tu wanakuokoa. Majamaa loyalty kwao ni muhimu sana.

Yule wa mwendokasi nae sio muda mrefu atakuwa uraiani.
Huna taarifa wa mwendokasi yuko nje kitaaambo anakula mema ya nchi wewe usicheze na sukuma gang wewe
 
Sidhani kama hili limefanyika, lakini kama kuna ukweli wowote basi kutakuwa na uzembe mkubwa kwa upande wa Mahakama za Tanzania.

Kesi ileile haipaswi kusikilizwa mara mbili na Mahakama ileile ikuhusisha watu walewale na kosa lilelile, kitaalamu hii inaitwa res judicata.

Nafikiri mtoa mada utakuwa hujafuatilia vizuri. Inawezekana hizi ni kesi mbili tofauti (two different offences).

Naomba kubakia.
 
Fisadi hafungwi Tanzania labda atake mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…