David mattaka out ATCL

Riane
1 big plane used to pay salaries for 260 employees...now the have 4 2biiigplane and 2 small planes and not 4smallplanes as u wrote
those days with md sanare....
 
Yaani Jk kumweka huyu madarakani ilionyesha extremely poor judgement! Ni mtu ambaye alitemwa na Mkapa lakini JK kaona ye ana akili sana akamrudisha katika ulaji. Huyu jamaa stori zake nilizidaka kwa wafanyakazi wenzake kutoka NSSF ni kwamba ni jamaa fisadi kupindukia na hajui kikomo cha kitu!
Goodbye Mr Mattaka and don't let the door hit you on your way out.
 
Huu jamaa ni bure kabisa amechelewa kuwasilisha barua
 
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50).

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

Rostam Azziz
Edward Lowassa (out)
Andrew Chenge (out)
Idris Rashid,
Nazir Karamagi, (out)
Gray Mgonja, (out)
Basil Mramba, (out)
Daniel Yona, out)
Peter Noni,
Nimrod Mkono,
Subash Patel
Benjamin William Mkapa
Yusuf Manji
Anna Mkapa
Jakaya Mrisho Kikwete
Vincent Mrisho
Frederick Sumaye
Omari Mahita (out)
Jeetu Patel
Sir Andy Chande
Amatus Liyumba(out)
Emmanuel Nchimbi
Shailesh Vithlani
Tanil Somaiya
Eric Shigongo

Patrick Rutabanzibwa

Felix Mrema (Arusha)
Laurence Masha
David Mattaka (outiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii)
Kingunge Ngombare Mwiru(out)
Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)muze(outiiiiiiiii
Malegesi Advocates
Ringo Advocates
Cleopa David Msuya
Prof. Mkandara (UDSM)
Maria Kejo
Apson Mwang'onda
Ferdinand Ruhinda
George Lauwo (TRA Customs)
Cpt. John Chiligati
Costa Mahalu
James Sinclair
Pius Msekwa
Alex Massawe
Zakhia Meghji

TUSAIDIANE NANI BADO JAMANI!!!!TUHAKIKISHE WOTE HAO WAKO NJE
KEEP IT UP INV
 
Ana pasmark nzuri lakini 32/50
 
Yeah no longer!!!
 
One way to NIC kabisa uhakika. Alikuwa anataka apewe ofisi baada ya kuchaguliwa kwenye task force ya NIC restructuring Margreth akakataa vita inahamia NIC loooo salaaale!!!!!
 
Sijaelewa, no longer with ATCL? au no longer kuondoka?
__________________
no longer with atcl/ the way to NIC
 
Atapewa best ya JKmwingine...mtaniambia maana jamaa analipa fadhila kwenda mbele....
 
Hamna lolote haja-resign wala nini tegeeni sikio Radio One saa 1 na 30 HIYO NDO HABARI!
RADIO ONE BREAKING NEWZZZZZZZ!!!!
 
Mmeniamini AJAJIUZULU yasomwa sasa.... DM yupo Hewani .... Wala hajawaza kujiuzulu...
 
Mmeniamini AJAJIUZULU yasomwa sasa.... DM yupo Hewani .... Wala hajawaza kujiuzulu...

labda baada ya habari kuvuja, watakuwa wanatafuta njia muufaka ya kutoka na kumpa chakula kingine. tuvute subira kidogo
 
Wadau DM alilikuta shirika la ndege ATCL likiwa chaaaaaliiiii... Hata angekuwa Malaika kwa kale kamtaji alichomegewa hakitoshi Shirika kama UDA Kujiendesha NAWASILISHA
 
Kwakweli wakati wa ku recycle wakurugenzi/mameneja umeisha. Kwa sasa tuna wasomi kibao wenye fikra mpya kwanini tunaendelea kuwarudisha walewale tu tena ambao hawana mpya bali kuboronga kwa kwenda mbele.

Kweli ATC ilishajifia kabla ya Mattaka lakini why kila siku tunawasikia walewale tu?

Mi inaniudhi sana kwakweli.
 
Jamani nafikiri mmesahau definition ya serikali. Ni kikundi cha watu kinachoongoza nchi kwa maslahi yao ... na wana kikundi huwa wachache ... kwa hiyo Mattaka, Mustafa Nyag'anyi , idrissa hawawezi kuruhusiwa kujiuzuru... nani ataongoza???... tafakari... waache wale wenye wali, wale wali wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…