David Ndii sets Twitter on fire as he declares he is Luo, renounces Uthamaki

A double math major who can't effectively express himself in English or Swahili. Very disheartening coming from a Kenyan. There is a very big village in your mind.
You are right- there is a very big "global village in my mind" But thats besides the point, logic is king
 
You are right- there is a very big "global village in my mind" But thats besides the point, logic is king
Always finish your sentences with a fullstop and never begin your sentences with but. You owe me 1500 KES, this is no free tutorial. Did you squander all your school fees in beer dens?
 
Ata mimi sijui mbona nilizaliwa a kikuyu...
hahaha.
But am a kenyan.

Mama ndiye hujua kabila la mtu maana ndiye mwenye siri ya nani baba. Mengine yote huwa tunayarithi na kuyabeba.
Hata utaifa, kunao Watanzania ambao kutwa wapo kwenye mada za Kenya, wengine huwa na user ID za Kikenya kwenye forums za Wakenya, hauwezi jua kiaina labda wana vinasaba vya Kikenya japo hujifanya kuchukia Kenya.

Mimi nilizaliwa ndani ya Wakikuyu, naongea na kukipenda Kikikuyu, napenda sana babu zangu Wakikuyu lakini siri ya mimi kabila gani siijui, hivyo naishi duniani nilivyoikuta na kuaminishwa.
 
He renounced kikuyu citizenship, and urged those who still want to view him under ethnic lenses (since most kenyans are more ethinacly inclined) to view him as a luo, but can be any other tribe or race for that matter
Tender za wanjigi kupotea zinawaumiza wana ANASA.
 
Siasa za Kenya pasua kichwa - governer Charity Ngilu (Kamba)imposes charcoal ban Kitui county. Kikuyu wamechukia wamefunga barabara ya Nairobi Edoret siku nzima.Kalenjin wamekuja juu na kutahadharisha wakikuyu tuheshimu we are king makers. Kikuyu give kales middle finger tano tena is done deal.Waluhya accuse police of being too linient on protester kwa sababu ni wakikuyu. Luo are contemplating an alliance with Kales.
 
kumbe waweza hama kabila??
hii ni mpya kwangu.
 
Luo is not a tribe bana. Luo is a life style.

Possibly you are right by saying Luo is not a tribe but life style since The Acholi of Uganda, the Dinka and Nuer in Sudan and South Sudan are all Luos but different life style.
 

If Luos continue to keep themselves away from the Kalenjins, a Luo candidate for Presidency will be heard in the newspapers and ballot box but will never ever clinch the Presidency. The Kalenjin under the leadership of Hon William Ruto enabled Raila ascend to the post of Premiership in 2007/2008!!!!! Raila alifanya kosa kubwa sana kumfukuza Ruto kutoka ODM wakati Baba alikuwa waziri Mkuu, consequently this led Baba to end up with a fake ‘President’ on 30/01/2018, kichekesho! Baba did let Ruto go and embraced the King of Muumbi, Ndii, and since he is a king automatically he is for special assignment upende usipende.
 
Which census? All Kikuyu men are businessmen. You mean you don't know that? Maybe you meant to say Kikuyu businesswomen. 😀
Stereotypical thinking and blind generalisations. So then, lets agree that all kikuyus are goat fvckers since that suits your primitive thinking capacity. And yes tano tena for the goats, SMH
 
Stereotypical thinking and blind generalisations. So then, lets agree that all kikuyus are goat fvckers since that suits your primitive thinking capacity. And yes tano tena for the goats, SMH
You are the primitive one, you said that a census should be conducted on kikuyu businessmen. Why not Maasai businessmen, Somali businessmen? All you village folk think of only tribe, from sunrise till sunset.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…