Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Give me one economist who supports uhurus kleptocracy economicsNdii yupo NASA,na NASA ni ndugu wa Magufuli tangu mwanzo....Lazima Ndii apige domo sana..
Nimuamini Ndii kwa hili!
Yuko biased kwa jamaa yao Magu!
Hakuna honest hapo....
Mkuki kwa nguruwe!
Huwa naona hapa ukithamini kila wazo la wapinzani wa Tanzania, nikafikiri unaamini kila wazo la mpinzani huwa ni jema maana walau wao hukosoa ili serikali irekebishe pape ilipokosea. Sasa ukisema Ndii anaongea hayo kwa kuwa ni mpinzani sikuelewi kabisa, tunarudi pale pale.
Hakuna mpinzani ambaye hukosoa kwa kusudi la kubomoa, hata kama anachokisema sio cha kweli lakini lengo lake ni kufanya watawala wawe makini zaidi na kuboresha maeneo wanayoyapigia kelele. Hivyo hata kama wewe kwa mawazo yako unadhani hawana lolote, lakini umuhimu upo, kwa nchi yoyote ile.Wapinzani huwa nawaunga mkono pale wanakosoa kwa kusudi la kuboresha, hapo naona umekwepa hayo maneno niliyoongeza kwamba huyu huwa na visasi na hasira, hana lolote nzuri hata moja ambalo amelisema kuhusu nchi yake.
Kuna baadhi ya viongozi wa upinzani Kenya nawapenda sana, akiongea unaona anayo hoja nzuri na amewasilisha ipasavyo. Nyie hapo kwenu ni mwendo wa kufia chama, hamtaki kuwaskliza upinzani kwa lolote.
Mrichorithi kutoka kwa late Nyerere ni maneno na hadithi nyiiingi nothing tangible on ground thus why baada ya miaka mingi bado ni LDC in all socio- economic index.We are the highest rated in fast growing economies in africa acha upumbavu we don't need your approval to make us feel we are on the right track
PressReader.com - Journaux du Monde EntierKwa uchambuzi huu inamaana Kenya uchumi wake unapumulia pabayaCheck out @DavidNdii’s Tweet:Check out @DavidNdii’s Tweet: Hapa ndipo panafurahisha Check out @DavidNdii’s Tweet: Check out @DavidNdii’s Tweet: Check out @DavidNdii’s Tweet:
Ndii niliacha kushughulika na maneno yake pale alipoibuka na ile hoja yake ya kuigawanisha Kenya mara mbili ili Raila awe na nchi yake ya kuitawala.Wapinzani huwa nawaunga mkono pale wanakosoa kwa kusudi la kuboresha, hapo naona umekwepa hayo maneno niliyoongeza kwamba huyu huwa na visasi na hasira, hana lolote nzuri hata moja ambalo amelisema kuhusu nchi yake.
Kuna baadhi ya viongozi wa upinzani Kenya nawapenda sana, akiongea unaona anayo hoja nzuri na amewasilisha ipasavyo. Nyie hapo kwenu ni mwendo wa kufia chama, hamtaki kuwaskliza upinzani kwa lolote.
Work hard you will die from hunger, crying like a baby won't help youMrichorithi kutoka kwa late Nyerere ni maneno na hadithi nyiiingi nothing tangible on ground thus why baada ya miaka mingi bado ni LDC in all socio- economic index.
Na huyu jpm atawarithisha ukatili na sifa za kijinga tu huku majority wakibaki poor kama repoa ilivyobaini.Only you the associates of the regime ndo mtabakia kulamba makwapa ya mnaemtumikia,fara ww amka waonee huruma maskini wanaowapigia kura
Give me one economist who supports uhurus kleptocracy economics
Give me one economist, wacha blah blah blahKama hayupo huyo economist,haizuii kuwepo wa NASA!
NASA ni partners na Magufuli,thats a known fact.
Na David Ndii ni mnazi wa Magufuli kama alivyo boss wake Raila...Hana bipartisan position on this....
Take that into the bank!
Ndii niliacha kushughulika na maneno yake pale alipoibuka na ile hoja yake ya kuigawanisha Kenya mara mbili ili Raila awe na nchi yake ya kuitawala.
Give me one economist, wacha blah blah blah
Hali mbaya kivipi mkuu, au ulikuwa na Vyeti feki nini?Acha uzwazwa wewe, mimi nazungumzia hali ya Tanzania kwa ujumla wala sio upande wangu.
Unajifanya unazo wakati ndg zako wanashindwa kununua hata chupi ya mtumba????
Acha kutisha watu na hojaless yako. Waziri wa fedha Henry Rotich ni economist, Harvard trained. Sio kila economist amechanganyikiwa kama Ndii. Kazi kuuza sura tu wakati wenzake kwenye hiyo taaluma wanatumia ujuzi wao kuitumikia nchi yao.Give me one economist, wacha blah blah blah
Mnajifariji tu wakati mko hoiiHali mbaya kivipi mkuu, au ulikuwa na Vyeti feki nini?
That is a statistical juggling which can not be justified on the ground,constrictive financial measures which are being pursued by the government is making people pant like dogs in a hot afternoon.We are the highest rated in fast growing economies in africa acha upumbavu we don't need your approval to make us feel we are on the right track
Rotich has tabled a bill to repeal intrest rate caps after near collapse of financial sector. David ndii had warned about the nagative effects of rate caps.Acha kutisha watu na hojaless yako. Waziri wa fedha Henry Rotich ni economist, Harvard trained. Sio kila economist amechanganyikiwa kama Ndii. Kazi kuuza sura tu wakati wenzake kwenye hiyo taaluma wanatumia ujuzi wao kuitumikia nchi yao.
One with hunger can't afford to purchase even a 300 mb bundleWork hard you will die from hunger, crying like a baby won't help you
Ulitaka upewe jina la economist mmoja tu. Nimekupa Henry Rotich. Hizi blah blah blah zingine nyingi sijui nani anazielewa.Rotich has tabled a bill to repeal intrest rate caps after near collapse of financial sector. David ndii had warned about the nagative effects of rate caps.
Rotich has admited that the gvnt is broke, david ndii had said this long before rotich.
Rotich has gone for 2nd eurobond, despite CBK gvnr njoroge saying its unsustainable.David ndii warned about eurobond and specally said we are heading to austerity like greece. Rotich has now tabled
Yes, and Rotich agrees with Dr. David ndii and so does CBK governor njoroge. so whats your point?Ulitaka upewe jina la economist mmoja tu. Nimekupa Henry Rotich. Hizi blah blah blah zingine nyingi sijui nani anazielewa.