David Ndii: Tanzania economy is growing faster.

Huitaji kuwa na elimu kuyajua hayo, elimu ya madrassa kutoka kule Mwanakwerekwe inatosha[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kichwa yako leo imekunywa chang'aa toka wapi?[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Akili za kuku hizi, anapokula ndipo anapokunya.
 
My point is that you have no point.
Wewe ndiye hujui unachokizungumza, umeambiwa taja conomist mmoja ambaye anapingana na mawazi ya Ndii, wewe unataja ambaye anakubaliana na mawazo ya Ndii kwasababu umeshindwa kumpata anayepingana na mawazo ya Ndii, stupid nyang'au.
 
Wewe ndiye hujui unachokizungumza, umeambiwa taja conomist mmoja ambaye anapingana na mawazi ya Ndii, wewe unataja ambaye anakubaliana na mawazo ya Ndii kwasababu umeshindwa kumpata anayepingana na mawazo ya Ndii, stupid nyang'au.
Yaani wewe mtu akisema kitu hapa unaichukulia kama injili. Soma bana acha kupenda kuelimishwa. Watakupoteza. Unajua Henry Rotich ni nani? Tangu lini wakakubaliana na Ndii? Nangoja ushahidi wa hilo kutoka kwako. Leta source tuone Rotich alipokubaliana na Ndii.
 
Huna hoja. Lakini kwenye hiyo picha hata kama ni wewe fala kutoka Kamahuhia, ungefanya nini mtu akaja tu akukabidhi bidhaa kama hiyo, tena mchana kweupe? πŸ˜€
mwenzako yuko na hoja. Wewe ume fail umeanza personal attacks
The guy is good up-stairs. Wewe unalukia hoja bila kuwa na point
 
Wewe ndiye hujui unachokizungumza, umeambiwa taja conomist mmoja ambaye anapingana na mawazi ya Ndii, wewe unataja ambaye anakubaliana na mawazo ya Ndii kwasababu umeshindwa kumpata anayepingana na mawazo ya Ndii, stupid nyang'au.
Huyu jamaa nikiraza namba moja humu ndani. Anazidiwa na HamstereπŸ˜€πŸ˜€
 
mwenzako yuko na hoja. Wewe ume fail umeanza personal attacks
The guy is good up-stairs. Wewe unalukia hoja bila kuwa na point

Huyu jamaa nikiraza namba moja humu ndani. Anazidiwa na HamstereπŸ˜€πŸ˜€
Acha umbea. Kinyangarika mwenzako huyo lazima mazero brain mpigiane promo. Kulukia na kiraza ndio nini? Au ni kiswahili cha kwenu Kolomije? Kama huna hoja anzisha uzi utuletee tweet za wakenya kama ilivo kawaida yako.
 
Hivi wewe kichwa chako kina matatizo gani?, Mkikuyu amekuonyesha jinsi ambavyo Henry Rotich intuitively alivyokubaliana na Mawazo ya Ndii, ameeleza maeneo mengi tu ambayo amesema Rotich ikiwemo serikali kuishiwa pesa, hatari ya kuendelea kukopa, na mengine mengi ambayo Ndii aliyasema na kuyatabiri huko nyuma, sasa unataka hadi aseme kwama"Mimi kama Rotich ninakubaliana na David Ndii?". Hebu soma tena hizo posts za mkikuyu uone jinsi alivyokuonyesha Rotich na Ndii mawazo yao yanavyo fanana, mbona ni rahisi sana kuona jinsi yanavyokubaliana?
 
Ushahidi gani huo ambao ameueka hapa? Au umeona maoni yake ukajua basi? Kama kila habari kuhusu Kenya unangoja uelimishwe na watu kama hao basi sitakosea nikikuita mwenda wazimu. Nangoja ulete source ya ushahidi ambao unaonesha Henry Rotich akikubaliana na Ndii. Sijakuambia uje na umbea. Comprende?
 
Wewe ni chizi kabisa, Rotich hajasema kwamba serikali ni broke?, unataka ushahidi kuthibitisha kwamba Rotich amesema serikali ni broke haina pesa?
 
Wewe ni chizi kabisa, Rotich hajasema kwamba serikali ni broke?, unataka ushahidi kuthibitisha kwamba Rotich amesema serikali ni broke haina pesa?
Sasa Henry Rotich akisema serikali haina hela ndio inamaanisha wanakubaliana na Ndii? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ We jamaa bana. Leta ushahidi acha pang'an'ga.
 
Wachana na huyu Kilaza wa kwetu, hua na matatizo ya kuelewa πŸ˜€
Naona umeingia kwenye ligi inayokufaa. Ligi ya umbea wa wanaume. Hongera zako. Umepata washamba wa kudanganya utakavyo. Offcourse wote ni mabongolala. Eti serikali ya Kenya haina economists wanaoiunga mkono. Ndii ndio economist pekee yake dunia nzima. πŸ™‚ Unaumwa.
 
Sasa Henry Rotich akisema serikali haina hela ndio inamaanisha wanakubaliana na Ndii? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ We jamaa bana. Leta ushahidi acha pang'an'ga.
Hivi unajua maana ya neno ushahidi?, alichokisema Mkikuyu- akili timamu ni kwamba, ushauri aliotoa David Ndii kuhusu uchumi wa Kenya, unafanana na ushauri wa economists wengine hapo Kenya, yeye alitumia neno kukubaliana, lakini akimaanisha kufanana kwa mawazo, alikuomba utaji economist yeyote ambao ushauri wake haufanani na ule wa David Ndii, umemtaja Rotich, sasa onyesha ni ushauri gani alioutoa Rotich ambao haufanani na ule wa Ndii, wewe unataka ushahidi, sina uhakika kama unaelewa anachokizungumza Mkikuyu - akili timamu, inaonekana gap kati yako na wewe katika thinking capacity ni kubwa sana.
 
Blah blah blah unafata maoni ya mtu mwingine kwani huna yako? Alafu unachukulia kama 'fact'. πŸ™‚ Ni wazi kwamba hujui chochote kuhusu Ndii wala maswala yeyote mengine kuhusu Kenya. 'Vita' vyenu vya Platnumz na Kiba viliisha nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…