brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Huyu muziki anafanyia starehe na sio kusaka pesa nasikia kwao mambo super kabisaHuyu jamaa kimya utafikir kaacha mziki
sony wanamzingua..Huyu muziki anafanyia starehe na sio kusaka pesa nasikia kwao mambo super kabisa
Jamaa kwemye muziki alikuwa anatafuta umaarufu tu cuz kama hela kwao zipo chafusony wanamzingua..
hakuna cha mambo supa wala nini..
mziki kila mtu anafanya apate faida..
afu hakuna mpenda kiki, mashindano na umaarufu kama obo
Nilijua utakuwa KE tu..ndio huwa mnawaza pesa za nyumbani au za mme..kazi kweli kweliHuyu muziki anafanyia starehe na sio kusaka pesa nasikia kwao mambo super kabisa
Swali la msingi sanaAmelipwa?
hebu tuzione[emoji46][emoji46]Jamaa kwemye muziki alikuwa anatafuta umaarufu tu cuz kama hela kwao zipo chafu
Acha shobo.Unamdai unataka kulipwa nini?Amelipwa?
Sony baba hyHuyu muziki anafanyia starehe na sio kusaka pesa nasikia kwao mambo super kabisa
Hahahahaha ubaguzi.Asa kama muvi yenyewe mhusika mkuu ni Lupita Nyong'o ulitarajia zisikike nyimbo za aina gani, lazima skelewi iende hewani hakuna namna.
mwanaume kutegemea hela za baba ni ufa.la...Jamaa kwemye muziki alikuwa anatafuta umaarufu tu cuz kama hela kwao zipo chafu
Huyu jamaa kimya utafikir kaacha mziki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]sony wanamzingua..
hakuna cha mambo supa wala nini..
mziki kila mtu anafanya apate faida..
afu hakuna mpenda kiki, mashindano na umaarufu kama obo
tatizo wa Tz wanalenda kukuza mambo..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni kweli
Kama kwao zipo si angeimba bure
Inshort naye ana zisaka pia