warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Msanii kutoka pande za Naija aka Nigeria Davido aka Mr. Awards baada ya kuchukua tuzo za MTV, MAMA kama best male na ingine ile ya BET tuzo zote zikiwa ni za mwaka 2014.
Davido ameanza kuonesha uwezo wa kipesa baada ya kununua headphone yenye dhahabu aina ya 24-carat gold.
Pamoja na kufanya muziki na inavyosemekana Davido anaweza kuwa juu kifedha si kwa Nigeria tu bali kwa Bara la Afrika pia. So ma haters wakaogee