Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 872
ray c my dear......
Ahaaa, basi narudisha tena mapenzi kwako na ile talaka please ichane tu haikuwa ya ukweli....ni hasira tu zilinituma kufanya vile. naomba msamaha my dear.
Davido kavaa headphone za meek mills wakati wakirecord single mpya ya davido nyie wabongo topic kwenu majungu yetu mtakufa masikini
nishakusamehe my dear....... mimi name wewe tena
Akina davido ndo unawajua eeh? Bhas saw
Ulimbukeni ni pale unaposhobokea mnigeria wakati wao hawana time na mwanamziki wenu.
Uzalendo muhimu sana
haihitaji kulazimishana hii nchi huru bana....
Rehema yupo na leo nimemuona anazidi kuiva na mkorogo kama papai
kawa punda nin?
am outdated kweli ina maana diamonde kanunua dogy dogy
Dogy thamani ya verossa helooo
Kaka watanzania sijui hiyo roho tuliitoa wapi? Jiulize Diamond angekuwa mkenya leo .! Hope angukuwa mbali maana nchi nzima ingekuwa nyuma yake.
Na hili lipo katika kila jambo linalofanywa na mtanzania likaonekana bora tunabeza.