Davido atambua mchango wa Tanzania

Haka ka mala... mi si kaelewi si ndo kalikuwa kanasema DIAMOND anasafiria nyota yake,lakini haishi kuweweseka kwa Diamond

mi mwenyewe nakashangaa kenyewe ndo kalimwacha diamond sa kanaweweseka nini, kalisema kamempa likizo kanaona likizo imekuwa ndefu hahaaaaa
 
Kuna uwezekano hata hiyo bendera ni kenyewe kamemshobokea ili aiweke, haka kademu kanampenda sana DIAMOND maumivu yake anawashirikisha mazombi wenzake.

na ataumia Sana huku wenzie wanashangilia kaprincess kuzaliwa...
 
warumi mpumzishe basi naona mtu anapanic mpaka anajiquote mwenyewe. Ndo kushakucha hivyo....yule mnafiki aanze kupita I'd kwa I'd kuendelea na kazi yake.... Safari hii matarumbeta yatakuhusu kwenye msuto..
Wale Wa kuvote votini kwa davido. Siogopi mtu kwani hakuna anayenilisha. Max melo akinikataza nitatii manake hii forum ni yake. Wengine wote hata mje na nini hamnitishi
 
Last edited by a moderator:
Watanzania huu upuuzi ndio tunauweza tu mengine yameshatushinda siku nyingi.

poor tanzanians
 
nilikua najua mashabiki wa wema ni mahouse gal na wafungua vizibo tu kumbe ata madume ni mashabiki wake hahahaha basi hawa watakua mashoga bila shaka!!!
 
nilikua najua mashabiki wa wema ni mahouse gal na wafungua vizibo tu kumbe ata madume ni mashabiki wake hahahaha basi hawa watakua mashoga bila shaka!!!
Acha kutumia lugha mbaya kwani ukipinga kwa point unapungukiwa kitu? Alafu unauhakika gani kwamba hao wanaompigia davido ni shabiki Wa wema?? Fanya uchunguzi kabla hujaaandika chochote
 

Bambieeeee haooo, davido ndo habar ya mujini, wengine wakaogee
 
Last edited by a moderator:
Acha kutumia lugha mbaya kwani ukipinga kwa point unapungukiwa kitu? Alafu unauhakika gani kwamba hao wanaompigia davido ni shabiki Wa wema?? Fanya uchunguzi kabla hujaaandika chochote
Eti dada unayeongea pointi naomba nikuulize kwanini tusimpigie msanii wetu kipenzi Ally Kiba na badala yake munatuamasisha tumpigie mnigeria au umesahau kategori anazowania Kiba ??????
 
Eti dada unayeongea pointi naomba nikuulize kwanini tusimpigie msanii wetu kipenzi Ally Kiba na badala yake munatuamasisha tumpigie mnigeria au umesahau kategori anazowania Kiba ??????
Acha watu watekeleze dhana ya Uhuru binafsi. Acha wachague kilichobora iwe diamond au davido
 
Huyo bosi wenu mwenyewe anajiita CHIBU DANGOTE jina la mfanyabiashara wa nigeria iweje watu wengine wampigie kura davido wa hukohuko nigeria muanze kupiga kelele?

Kama uzalendo angeuanza diamond ajiite CHIBU MENGI, CHIBU BAKHRESA, au CHIBU ROSTAM. Kama yeye anawafagilia hao wanaigeria iweje kwa washabiki wa kiba iwe ni kujidharaulisha?

Washabiki wa diamond hamna hoja za msingi. All in all mlitakiwa mjiulize why mko desperate mnazunguka mitandao yote duniani kuonyesha kuwa wanachokifanya baadhi ya watanzania si sahihi. Mko desperate sana mnahitaji msaada

Kama uzalendo unaanzia nyumbani kwanini huyo diamond asijiite jina mfanyabiashara mkubwa Tanzania kajipachika jina la mfanyabiashara maarufu wa nigeria?

Jitu halina uzalendo sisi tulionyeshe uzalendo wa nini?
 
We are defined by the stupidity of few worthless minds.
 
Shikamoo. Naomba wakusome kwa umakini
 

hakika umenena vyema hapo na wote wenye macho waone.
 
Ila jamaa wamekuwa desperate sana asee,maana Mara wafungue account fake ya KTMA...Mara ya DAVIDO,Dah!...yani nomar kweli hii.
 

Huyu inatakiwa mtu apewe tender ya kumtongoza then aliwe kiboga plus picha za kumwaga ndio atashika adabu.....ubaya hulipwa ubaya chibu agharamie m2 anzee hiyo kazi fasta haruki huyo mbele y fwedha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…