Davido x Diamond x Alikiba

sabari

Senior Member
Joined
Jul 23, 2015
Posts
153
Reaction score
53
I'm just assuming. Davido ameshajua market ya Tanzania na East Africa liko kwa hawa hasa kwa upande wa mashabiki pengine anaweza akawa mtu wa kwanza kuwashirikisha pasipo wao kujua au hata wakawa wakajua, Money Talk.
 
I'm just assuming. Davido ameshajua market ya Tanzania na East Africa liko kwa hawa hasa kwa upande wa mashabiki pengine anaweza akawa mtu wa kwanza kuwashirikisha pasipo wao kujua au hata wakawa wakajua, Money Talk.
Nyinyi ndo munamfanya huyu mlinzi wa tembo afanye vitu ambavyo viko chini ya ubora au kiwango kwa sababu ya kumpeleka spidi ambayo hakujiandaa nayo, sasa kitu bado akijafanyika munaanza kumpa presha
 
Nyinyi ndo munamfanya huyu mlinzi wa tembo afanye vitu ambavyo viko chini ya ubora au kiwango kwa sababu ya kumpeleka spidi ambayo hakujiandaa nayo, sasa kitu bado akijafanyika munaanza kumpa presha

Wewe Ndo Unaonekana Unapresha.Tunaomjua King Vizuri Uwa Afanyi Mambo Yake Kwa Kukurupuka.Siku Zote Anajua Nini Anachokifanya Kwa Kuangalia Malengo Na Faida Zake.Uwa Hafati Mkumbo Wa Sifa Na Maneno Mengi Ya Mashabiki Mburulaz.Kaa Mkao Wa Kunawa Usubir Kusikia King Anataka Kufanya.Acha Mapepe Kama Demu Kicheche Aliekosa Soko!
 
Nyinyi ndo munamfanya huyu mlinzi wa tembo afanye vitu ambavyo viko chini ya ubora au kiwango kwa sababu ya kumpeleka spidi ambayo hakujiandaa nayo, sasa kitu bado akijafanyika munaanza kumpa presha

Hahaha! Hamna bruv inabidi tumboost mchizi atleast tupate mwakilishi zaidi ya mmoja kimataifa sababu ndo inaonekana Ana mashabiki wengi after diamond.
 
Mtoto wa kike umekuwa mkali kisa katajwa bwana'ko
 
Diamond hawezi kukubali huo upuuzi, but Alikiba anaweza kufanya coz likifanikiwa kutokea hilo atapanda chati
 
Diamond hawezi kukubali huo upuuzi, but Alikiba anaweza kufanya coz likifanikiwa kutokea hilo atapanda chati

Mondi hawezi kumfanyia roho mbaya atapiga nae long as tunaipeleka Tanzania mbali kisanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…