Nenda Msaranga, au uliza pale Kiborloni nani asiyejua aliyemtoa Davis Mosha kiakili, Davis asingekuja Chalinze kama si huyo mjomba wake na Davis ana kubali hilo. Uchangamfu wa Davis ukamkutanisha na familia ya JK, na ametumia uhusiano huo vizuri.
The man is not political ambitious neither nor criminal or popularity, yuko busy na biashara zake, hata mkimgusa ana clean record of accounts.
Mkuu mama pia kamsaidia sana.....je unamkumbuka Marehemu Frank Lyatuu......Thats his man! Mkuu wa kaya nakumbuka baada ya kuingia madarakani alimpa scania mbili jamaa na kumtema...
Mkuu Mbwa-Haruki alias William Mrema yupo choka Mbaya hapo kibaha, ile Petrol Station yake pale Msaranga kwa Mbwa ruki imeshakufa long time...
there is untold story behind Davies current wealth....
Lengeri
Mkuu namkumbuka sana Frank, si yule jamaa polisi walimpiga risasi Arusha wakisema ni Jmabazi??
Lengeri
Kama macho ya kwenye avatar yako yamekaa kiwizi wizi hahaha!hivi jamani mkono wa biashara uko vipi?ebu tuambizane apa kma wengine tuna mikono ya wizi au lah
Nasisitiza, Davis Mosha siyo criminal as far as his current business is concerned! Ni mpenda michezo, na ana mlkono wa biashara. Ukitaka kujua yote haya nenda kwa mentor wake (ni mjomba wake huyu, ana jina la utani la 'mbwa haruki) yuko Kibaha picha ya ndege. Na hiyo petrol station aliyokuwa anafanyia ni ya huyo mjomba.
Hahaha! nimeipenda hii Hasanoo-kijana wa shaba,sasa shaba yenyewe iwe ya halali sio ya kuiba ikiwa transit basi.Ni pedeshee wa mujini kama walivyo akina Young millionea (Muzamil Katunzi),Chuma cha reli (Msofe),Balhabou(mzee wa dubai).Kusena(kijana wa UDA),Hassanol(kijana wa shaba)
Nenda Msaranga, au uliza pale Kiborloni nani asiyejua aliyemtoa Davis Mosha kiakili, Davis asingekuja Chalinze kama si huyo mjomba wake na Davis ana kubali hilo. Uchangamfu wa Davis ukamkutanisha na familia ya JK, na ametumia uhusiano huo vizuri.
The man is not political ambitious neither nor criminal or popularity, yuko busy na biashara zake, hata mkimgusa ana clean record of accounts.
Duh...
Yaani kweli mnaweza kuzungumzia utajiri wa Davis bila kuwepo Ray wa Regency; Alex (Carlos) na Albert Marwa......
Haya bwana tuendelee...
dah kumbe unamkumbuka muzee ya nairobi....hv funda moja tu au ni mwanamke alimponza....lakini yule jamaaa du...kuna jamaa yangu alikua kila siku anaenda nyumbani saa kumi kwa sababu ya kumuogopa frankNi kweli , sema alikuwa anatafutwa sana na polisi na kutafutiwa sababu ya shaba maana alikuwa na mtandao mkali sana....funda moja la ziada likamponza... so akapigwa risasi, namfahamu mama yake Frank ,
du hv mkuu hapo kwenye red nae yupo kwenye connection ya dogo?sidhani...someone has to prove itDuh...
Yaani kweli mnaweza kuzungumzia utajiri wa Davis bila kuwepo Ray wa Regency; Alex (Carlos) na Albert Marwa......
Haya bwana tuendelee...
Mosha nourished his capital the 'Tanzanian way of doing business' His fortune emanates from his hard work and commitment to his business. Hadaiwi na benki wala TRA na hatafutwi na polisi.
Davis Elisa Mosha, kijana kutoka familia ya kipato cha kawaida. Mzaliwa wa Kiborloni Moshi.
Davis Mosha historia yake inaonyesha hakupata elimu kubwa (aliishia form four). kazi ya mwanzo ilikuwa mjaza mafuta pale Chalinze kwenye Filling Station ambayo leo anaimiliki
Davis Mosha kwa sasa ni miongoni mwa vijana wenye utajiri mkubwa sana hapa Bongo... ni ukweli usiofichika ni vigumu kuueleza namna alivyoupata hata yeye mwenyewe inamshinda...
Je wadau huyu Davis Mosha ni nani?? Wasifu wake?? MAfanikio yake
Lengeri