Inawezekana imeandikwa hivyo cause dawa hizo hazipo kwenye production au zipo kwa trademark nyingine ambayo tunaita generic,yaani ni dawa ambazo zina same active ingredient,effect,strength,mechanism of action but different price which is supposse to be cheaper,different company that produce the product and can contain more or less of other ingredients like colour,taste,n.k ascorbic acid is the same as vitamin C