Dawa asilia inayoongeza upatikanaji wa mtoto kwa mwanamke

deejaywillzz

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
637
Reaction score
224
Kuna dawa ya asili inaitwa stameta inayopatikana South Africa, matumizi yake ni kusafisha mwili. Ukiinywa ni chungu kupindukia ila baada ya kunywa unakuwa unaenda chooni mara kwa mara (Usijaribu kujamba maana utaharibu utaratibu wa nguo) kwa wanaume dushe linakuwa likisimama halipoi kwa mda mrefu, ila kwa wanawake wanakuwa na risk ya kupata mbimba haraka mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…