Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naomba hiv ni kweli kuna dawa au shindano inayoweza kuzuia maambukizi ya HIV ndani ya masaaa 48 namomba ushauri wadau
naomba hiv ni kweli kuna dawa au shindano inayoweza kuzuia maambukizi ya HIV ndani ya masaaa 48 namomba ushauri wadau
Nani kakwambia
kuna kitu kinaitwa Pep ( post exposure prophylaxis) sio sindano ni vidonge
Dawa zipo hususani kwa wafanyakazi wa sekta ya afya ambao wanaweza kupata maambukizi wakiwa kazini; inaonekana wewe muasherati Acha ngono za rejareja; dudu ikisimama piga punyeto; usitafute balaa bure ukimwi ni hatari hiyo ndiyo dawa sahihi. Kisonono, gono na kaswende utapona hilo balaa la ukimwi lisikie hivyo hivyo
naomba hiv ni kweli kuna dawa au shindano inayoweza kuzuia maambukizi ya HIV ndani ya masaaa 48 namomba ushauri wadau
Sasa si waviuze tu ili kila mtu awe navyo kwake kama Robert Michael vitamuokoa sanaaa
Dawa zipo hususani kwa wafanyakazi wa sekta ya afya ambao wanaweza kupata maambukizi wakiwa kazini; inaonekana wewe muasherati Acha ngono za rejareja; dudu ikisimama piga punyeto; usitafute balaa bure ukimwi ni hatari hiyo ndiyo dawa sahihi. Kisonono, gono na kaswende utapona hilo balaa la ukimwi lisikie hivyo hivyo
Dawa ipo unachotakiwa ni kupata matibabu ndani ya 3 baada ya maambukizi.