Dawa baridi

majiyashingo

Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
44
Reaction score
2
Wana jamii nataka nijikite kwenye uagizaji wa dawa baridi kutoka nchi mbalimbali je mtu wa kawaida anaruhusiwa kuagiza dawa baridi kutoka nje na kuna process zipi za kuingiza dawa?na vipi kuhusu usambazaji kuna mwenye idea yoyote nitashukuru sana kwa msaada wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…